Kama Iki mpendeza, basi mimi nita msikiliza.Ngoja ninyamaze kama Intelligent Businessman
mbona umeweka profile ya kiongoz jasiriHapana hamjui tu ninayopitia na hii ni mara ya tatu napitia haya mazito
Sasa wewe umeolewa na mchawi afu unataka tukushauriNinahisi mume wangu nae anahusika kwa hili kila siku anaondoka anasema anaenda msiba wa kaka yake akirudi ni usiku saa sita na hataki nihudhurie msiba anadai nimechoka sana nipumzike ili nirudishe nguvu
Nikama ananichota akili kwa njia zisizoonekana nikama wanachukua kila kilicho changu kwa njia zisizoonekana
Na akiondoka anarudi saa sita usiku tena lakini anakuwa ni roho nyingine kabisa kwa sura ya mume nikigoma kumfungulia anafungua mlango kwa njia zisizoonekana nikimuuliza amepita wapi eti nilikuwa na funguo
Wewe upo kundi la hao wanyama sio?
What if gentleman?Wewe upo kundi la hao wanyama sio?
Acha kuzidi kutiwa hofu. Yeyote uliyekutana nae, unayekutana na utakayekutana nae kwenye safari yako ya maisha alishapangwa kabla hujazaliwa. Baba, mama, mume wako, watoto wako, wote ni zawadi uliyopewa na dunia bila kujali kasoro au maumivu wanayokupa. Tafuta sehemu ya peke yako kwa ukimya kabisa kisha iambie nafsi yako kuanzia sasa iache hofu na wasi wasi na ianze kuishi kadri maisha yanavyotaka. Jitahidi dakika 5 kabla hujalala utulie kimya na uishukuru siku kwa kukufikisha muda wa kulala, jitahidi katika dakika hizo 5 uondoe hofu na kila aina ya negativity ya kutwa nzima, vivyo hivyo asubuhi ukiamka kabla hujaanza chochote tafuta utulivu wa dakika chache na kisha tamka kwamba siku yako itakuwa nzuri zaidi ya jana, waza vitu positive tu kwa siku nzima (jitahidi ulale mapema na uamka mapema). Fanya hayo mazoezi kwa wiki moja tu uone kama kuna matokeo ya hayo kupungua kwa hayo unayopitia au lah. Nakutakia dozi njema.Eee mungu baba bisaidie
Pole sana Marcy,Ninahisi mume wangu nae anahusika kwa hili kila siku anaondoka anasema anaenda msiba wa kaka yake akirudi ni usiku saa sita na hataki nihudhurie msiba anadai nimechoka sana nipumzike ili nirudishe nguvu
Nikama ananichota akili kwa njia zisizoonekana nikama wanachukua kila kilicho changu kwa njia zisizoonekana
Na akiondoka anarudi saa sita usiku tena lakini anakuwa ni roho nyingine kabisa kwa sura ya mume nikigoma kumfungulia anafungua mlango kwa njia zisizoonekana nikimuuliza amepita wapi eti nilikuwa na funguo
Eleza vizuri basi shida ili usaidiwe. Kama sio fundi wa kusimulia mweleze To yeye yeye atatuelezaYupo hai
Nenda kwa Mchungaji wa mtungi wa gesi haraka sana!Ninayopitia mungu ndie anajua
Mniombeee
Nimazito mnoo
Unseen forces
Drained ernegy
Naishiwa nguvu
Nikionacho sicho
Yaan wanakuja watu kwa sura ya mume wangu lakini sio
Yote nimeamua kumuachia mungu afanye yake
Shida hasa ni nini? Hebu simulia vizuri basi tukuelekeze cha kufanya! Hapo ulipo ni kwako na mmeo au uko ukweni?Eee mungu baba bisaidie
😷Umejaribu kupima Malaria?