NINAHITAJI MSAADA WENU WAPENDWA

NINAHITAJI MSAADA WENU WAPENDWA

Ninayopitia mungu ndie anajua
Mniombeee
Nimazito mnoo
Unseen forces
Drained ernegy
Naishiwa nguvu
Nikionacho sicho
Yaan wanakuja watu kwa sura ya mume wangu lakini sio
Yote nimeamua kumuachia mungu afanye yake
Umewapandisha mzuka wasomaji, halafu umemaliza haja zako kabla wasomaj wako kufika kileleni
 
Ninayopitia mungu ndie anajua
Mniombeee
Nimazito mnoo
Unseen forces
Drained ernegy
Naishiwa nguvu
Nikionacho sicho
Yaan wanakuja watu kwa sura ya mume wangu lakini sio
Yote nimeamua kumuachia mungu afanye yake

NGUVU ZA MUNGU ZIKUPE NGUVU MPYA KATIKA JINA LA YESU MWANA WA MUNGU ALIYE HAI. ALIKUFA MSALABANI ILI UPATE KUFUNGULIWA KWENYE VIFUNGO VYA GIZA NA UDANGANYIFU WA SHETANI.

Kuna nyakati mzigo wa maisha unakuwa mzito sana. Unajihisi umeishiwa nguvu, moyo wako umevunjika, na roho yako imedhoofika. Unasema, “Ninachopitia ni kizito mno, Mungu pekee ndiye anayejua.” Lakini leo nakuletea Neno la Mungu la uzima, Neno linalovunja minyororo na kurudisha matumaini.

Biblia inasema: “Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.” (Mathayo 11:28). Sikiliza vizuri hiyo ahadi ni ya kwako sasa. Siyo kesho, siyo kesho kutwa leo. Yesu anasema, njoo, mwachie mizigo yako, na nitakupa pumziko la kweli.

Unaposema unaona “unseen forces”, unaona sura zinazokuchanganya, unahisi umeishiwa nguvu hiyo ndiyo kazi ya adui. Shetani anapenda kuleta hofu, kuchanganya akili, na kukata tamaa. Lakini nakutangazia kwa jina la Yesu Kristo: adui hana mamlaka juu yako! Kwa maana Neno linasema: “Yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.” (1 Yohana 4:4).

Yesu Kristo ndiye nuru ya ulimwengu. (Yohana 8:12) Anapokaa ndani yako, giza halina nguvu. Hata kama nguvu za giza zinajaribu kujifanya na kujionyesha, mwangaze kwa nuru ya Kristo na zitakimbia kwa aibu. Biblia inasema: “Mkaeni imara katika imani, mkimpinga shetani naye atawakimbia.” (Yakobo 4:7).

Sasa na ninatangaza wewe ni wa Kristo, umeoshwa kwa damu ya thamani, na hakuna pepo, hakuna nguvu za giza, hakuna ndoto mbaya, hakuna hila ya adui itakayoshinda jina la Yesu. Yesu alishinda msalabani, akafufuka siku ya tatu, na yuko hai milele. Ushindi wake ni ushindi wako pia.

FUATISHA MANENO HAYA YA KITABU CHA ZABURI UTAONA NGUVU ZA AJABU:
Zaburi 23
Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu… Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya; kwa maana Wewe upo pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanifariji.

Zaburi 91
Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu, atakaa chini ya uvuli wake Mwenyezi… Kwa maana Yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji, na katika tauni iharibuyo. Kwa mbawa zake atakufunika, na chini ya mabawa yake utapata kimbilio.

Zaburi 121
Nitainua macho yangu niutazame milima; msaada wangu utoka wapi? Msaada wangu utoka kwa Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.


NAOMBA KUKWAMBIA JAMBO KUBWA SANA, TOBA INA NGUVU KUBWA SANA KATIKA MAISHA.

MWAMBIE BWANA:
“Ee Baba wa mbinguni, ninakiri kwamba mimi ni mdhaifu na nimekosa. Naomba unisamehe dhambi zangu zote, kwa mawazo, kwa maneno na kwa matendo. Nioshe kwa damu ya Yesu Kristo, Mwana wako, aliyekufa msalabani kwa ajili yangu. Ninafungua moyo wangu na kukukaribisha, Yesu, kuwa Bwana na Mwokozi wangu. Andika jina langu katika Kitabu cha Uzima. Amen.”

Endelea kuomba kwa nguvu mwambie:
“Bwana Yesu, nakuachia mzigo wangu wote. Najifunika kwa damu yako. Ninavunja kila nguvu za giza zinazojaribu kuniletea hofu na kuchoka. Weka nuru yako ndani yangu. Nipe amani, nguvu mpya, na uponyaji wa mwili na roho. Kwa jina lako Yesu, amen.”

Tamka kwa nguvu:
“Ninatangaza kwamba mimi ni mali ya Yesu Kristo. Hakuna silaha itakayoundwa juu yangu itakayofanikiwa. Nuru ya Kristo imenifunika, na ushindi wa msalaba ni wangu leo. Asante Baba kwa ushindi na amani. Amen.”

Usiogope tena, usikatishwe tamaa tena. Umeshinda kwa damu ya Mwanakondoo. Roho Mtakatifu akutie nguvu mpya, na nuru ya Kristo iangaze juu yako usiku na mchana.

“Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu; nimwogope nani? Bwana ni ngome ya uzima wangu; nimmwogope nani?” (Zaburi 27:1).
 
Covax hapa ndipo utaelewa jinsi nguvu ya YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI inavyo kwenda kumponya huyu dada kwa muujiza mkuu. Damu ya Yesu inakwenda kumweka huru kuanzia saa hii. Inak

NGUVU ZA MUNGU ZIKUPE NGUVU MPYA KATIKA JINA LA YESU MWANA WA MUNGU ALIYE HAI. ALIKUFA MSALABANI ILI UPATE KUFUNGULIWA KWENYE VIFUNGO VYA GIZA NA UDANGANYIFU WA SHETANI.

Kuna nyakati mzigo wa maisha unakuwa mzito sana. Unajihisi umeishiwa nguvu, moyo wako umevunjika, na roho yako imedhoofika. Unasema, “Ninachopitia ni kizito mno, Mungu pekee ndiye anayejua.” Lakini leo nakuletea Neno la Mungu la uzima, Neno linalovunja minyororo na kurudisha matumaini.

Biblia inasema: “Njooni kwangu, ninyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.” (Mathayo 11:28). Sikiliza vizuri hiyo ahadi ni ya kwako sasa. Siyo kesho, siyo kesho kutwa leo. Yesu anasema, njoo, mwachie mizigo yako, na nitakupa pumziko la kweli.

Unaposema unaona “unseen forces”, unaona sura zinazokuchanganya, unahisi umeishiwa nguvu hiyo ndiyo kazi ya adui. Shetani anapenda kuleta hofu, kuchanganya akili, na kukata tamaa. Lakini nakutangazia kwa jina la Yesu Kristo: adui hana mamlaka juu yako! Kwa maana Neno linasema: “Yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika dunia.” (1 Yohana 4:4).

Yesu Kristo ndiye nuru ya ulimwengu. (Yohana 8:12) Anapokaa ndani yako, giza halina nguvu. Hata kama nguvu za giza zinajaribu kujifanya na kujionyesha, mwangaze kwa nuru ya Kristo na zitakimbia kwa aibu. Biblia inasema: “Mkaeni imara katika imani, mkimpinga shetani naye atawakimbia.” (Yakobo 4:7).

Sasa na ninatangaza wewe ni wa Kristo, umeoshwa kwa damu ya thamani, na hakuna pepo, hakuna nguvu za giza, hakuna ndoto mbaya, hakuna hila ya adui itakayoshinda jina la Yesu. Yesu alishinda msalabani, akafufuka siku ya tatu, na yuko hai milele. Ushindi wake ni ushindi wako pia.

FUATISHA MANENO HAYA YA KITABU CHA ZABURI UTAONA NGUVU ZA AJABU:
Zaburi 23
Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu… Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya; kwa maana Wewe upo pamoja nami; gongo lako na fimbo yako vyanifariji.

Zaburi 91
Aketiye mahali pa siri pake Aliye juu, atakaa chini ya uvuli wake Mwenyezi… Kwa maana Yeye atakuokoa na mtego wa mwindaji, na katika tauni iharibuyo. Kwa mbawa zake atakufunika, na chini ya mabawa yake utapata kimbilio.

Zaburi 121
Nitainua macho yangu niutazame milima; msaada wangu utoka wapi? Msaada wangu utoka kwa Bwana, Aliyezifanya mbingu na nchi.


NAOMBA KUKWAMBIA JAMBO KUBWA SANA, TOBA INA NGUVU KUBWA SANA KATIKA MAISHA.

MWAMBIE BWANA:
“Ee Baba wa mbinguni, ninakiri kwamba mimi ni mdhaifu na nimekosa. Naomba unisamehe dhambi zangu zote, kwa mawazo, kwa maneno na kwa matendo. Nioshe kwa damu ya Yesu Kristo, Mwana wako, aliyekufa msalabani kwa ajili yangu. Ninafungua moyo wangu na kukukaribisha, Yesu, kuwa Bwana na Mwokozi wangu. Andika jina langu katika Kitabu cha Uzima. Amen.”

Endelea kuomba kwa nguvu mwambie:
“Bwana Yesu, nakuachia mzigo wangu wote. Najifunika kwa damu yako. Ninavunja kila nguvu za giza zinazojaribu kuniletea hofu na kuchoka. Weka nuru yako ndani yangu. Nipe amani, nguvu mpya, na uponyaji wa mwili na roho. Kwa jina lako Yesu, amen.”

Tamka kwa nguvu:
“Ninatangaza kwamba mimi ni mali ya Yesu Kristo. Hakuna silaha itakayoundwa juu yangu itakayofanikiwa. Nuru ya Kristo imenifunika, na ushindi wa msalaba ni wangu leo. Asante Baba kwa ushindi na amani. Amen.”

Usiogope tena, usikatishwe tamaa tena. Umeshinda kwa damu ya Mwanakondoo. Roho Mtakatifu akutie nguvu mpya, na nuru ya Kristo iangaze juu yako usiku na mchana.

“Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu; nimwogope nani? Bwana ni ngome ya uzima wangu; nimmwogope nani?” (Zaburi 27:1).
Zingatia hayo aliyokuambia Gospel KTV
Soma uzi huu pia utakusaidia
 
Ninahisi mume wangu nae anahusika kwa hili kila siku anaondoka anasema anaenda msiba wa kaka yake akirudi ni usiku saa sita na hataki nihudhurie msiba anadai nimechoka sana nipumzike ili nirudishe nguvu
Nikama ananichota akili kwa njia zisizoonekana nikama wanachukua kila kilicho changu kwa njia zisizoonekana
Na akiondoka anarudi saa sita usiku tena lakini anakuwa ni roho nyingine kabisa kwa sura ya mume nikigoma kumfungulia anafungua mlango kwa njia zisizoonekana nikimuuliza amepita wapi eti nilikuwa na funguo
 
Kuna mmoja nilimpa ushauri wa kisaikolojia alikuwa na tatizo kamamhilo, kumbe ujanani kwake alikuwa na wanaume wengi sana nilipata shida sana kumsaidia
Namkumbuka alinilia sana hela zangu mbwa yule
Nilimsomea albadili na kumwona dkt. kabwatu
 
Ninahisi mume wangu nae anahusika kwa hili kila siku anaondoka anasema anaenda msiba wa kaka yake akirudi ni usiku saa sita na hataki nihudhurie msiba anadai nimechoka sana nipumzike ili nirudishe nguvu
Nikama ananichota akili kwa njia zisizoonekana nikama wanachukua kila kilicho changu kwa njia zisizoonekana
Na akiondoka anarudi saa sita usiku tena lakini anakuwa ni roho nyingine kabisa kwa sura ya mume nikigoma kumfungulia anafungua mlango kwa njia zisizoonekana nikimuuliza amepita wapi eti nilikuwa na funguo
Mna watoto wangapi na anafanya kazi gani huyo mumeo
 
Ninayopitia mungu ndie anajua
Mniombeee
Nimazito mnoo
Unseen forces
Drained ernegy
Naishiwa nguvu
Nikionacho sicho
Yaan wanakuja watu kwa sura ya mume wangu lakini sio
Yote nimeamua kumuachia mungu afanye yake

Uzee huo and nothing else.

Ushauri , ogea chumvi ya mawe and have sex at least three times kwa wiki
 
Back
Top Bottom