Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Hapo mwisho ndo sijaelewa kabisaa
siyo lazima uelewe yote
Hapo mwisho ndo sijaelewa kabisaa
Alipiga tena kusikia sauti yake nikwambia Niko ktk kelele nitakupigia baadae then SMS za vitisho zikafululiza kutoka TALA namba tofaut tofaut
Hajapiga tena mpaka saizi kweliii
Best yangu wamemuomba aweke hata 2500 na wana mdai kama laki naa hiviAlipiga tena kusikia sauti yake nikwambia Niko ktk kelele nitakupigia baadae then SMS za vitisho zikafululiza kutoka TALA namba tofaut tofaut
Hahaaaa..hapo wameanza kuwa wapoleBest yangu wamemuomba aweke hata 2500 na wana mdai kama laki naa hivi
umepokea?Mimi leo, nimewakopa haraka bado hawajanitumia.
umepokea?
Kama umewakopa leo kama unavyosema,masaa 72(siku 3) bado hayajapitaWamesema nisubiri masaa 72, yamepita hawajatuma hata ,wazinguaji tu hawa.
Kama umewakopa leo kama unavyosema,masaa 72(siku 3) bado hayajapita
Mimi leo, nimewakopa haraka bado hawajanitumia.
Umekopa leo na saa 72 zimepita leoleo.?Wamesema nisubiri masaa 72, yamepita hawajatuma hata ,wazinguaji tu hawa.
Hatoi mikopo siku hizi nadhani washafilisikaNiliwakopa Aalhamisi alasiri Mkuu
Umekopa leo na saa 72 zimepita leoleo.?
Nilikopa alihamisi ,, wakaniambia nisubiri masaa 72 ,lakin nilitegemea hayataisha labda ndani ya masaa 39 watakuwa teyar wametuma ,lakini bado
JAMAA NAFIKIRI WAMEFILISIKA