Mm naitaka ila hawanitumiiAirtel nao wameanzisha kama songesha wananitamanisha wamenitumia sms kuwa naruhusiwa kusongesha (airtel) mpaka 25,000 wananitafutia tu dhambi hawa
Sijui kwakweliHivi branch walishawahi kumkamata MTU Kama wanavyodai kwenye meseji zao?