Kwanini Vodacom M-PAWA loan limit yangu haiongezeki?

Keynez

JF-Expert Member
Feb 12, 2007
2,397
3,884
Ni mteja wa miaka zaidi ya mitatu wa Vodacom na nimetumia hela yangu nyingi sana kwenye huduma zao hadi nimekuwa mteja wa thamani. Nimekuwa nakopa na kulipa kwa wakati (isipokuwa mara moja tu nilichelewa kurudisha mkopo kwa siku moja) lakini kwa muda mrefu limit imegota pale pale kwenye 144,500/=

Niliwahi kupiga simu customer service nikaambiwa niwe nafanya transactions mara kwa mara, ikiwezekana kila siku, kati ya M-PESA na M-PAWA, nimefanya hivyo lakini wapi.

Kuna uwezekano kuna mtu ndani anatumia account yangu kuzungusha hela? Kama sivyo, tatizo ni nini?
 
Siwaelewi kabisa vodacom. Mwaka jana mwishoni nilimfungulia mama line ya Vodacom, ila amekuwa si mtumiaji sana wa line hiyo, bado anaogopa smart phone! Juzi nimecheki vifurushi vyake vya ‘Ya Kwako Tu’, inaonyesha ana vifurushi vizuri zaidi yangu wakati mimi natumia line yangu kila siku na nimespend mahela kibao kwenye huduma zao.

Ungedhani kifurushi kama kile kingekuwa kuwazawadia wateja wao wa muda mrefu na wanaotumia sana huduma zao, lakini kumbe wateja wapya na wasiotumia sana ndiyo wanazawadiwa zaidi.
 
Embu cheki hii. Ya kwanza ya kwangu. Ya pili ya mama.

398A24A7-5F6E-4F5F-990F-8CDA823B7702.png


328F7488-CB31-4FE0-99C3-9AEC37548A52.jpeg
 
Keynez ukitaka mikopo ya namna hiyo jaribu kukopa Branch, au Tala wako vzuri ukilipa kwa wakati wanakopesha mpaka milioni, halafu hiyo avatar yako ya bulls nimewahi kuiona mahala Fulani .....hope wewe ni forex trader
 
Keynez ukitaka mikopo ya namna hiyo jaribu kukopa Branch, au Tala wako vzuri ukilipa kwa wakati wanakopesha mpaka milioni, halafu hiyo avatar yako ya bulls nimewahi kuiona mahala Fulani .....hope wewe ni forex trader
Huu ushauri mzuri... Adownload app ya branch japo anaweza anza na 10000 ila wao wanakuongezea mkopo tofauti na hao mpawa!!
 
Keynez ukitaka mikopo ya namna hiyo jaribu kukopa Branch, au Tala wako vzuri ukilipa kwa wakati wanakopesha mpaka milioni, halafu hiyo avatar yako ya bulls nimewahi kuiona mahala Fulani .....hope wewe ni forex trader
ukikopeshwa laki unalipa lakin na ishirini then unakopeshwa laki na 30
 
Ni mteja wa miaka zaidi ya mitatu wa Vodacom na nimetumia hela yangu nyingi sana kwenye huduma zao hadi nimekuwa mteja wa thamani. Nimekuwa nakopa na kulipa kwa wakati (isipokuwa mara moja tu nilichelewa kurudisha mkopo kwa siku moja) lakini kwa muda mrefu limit imegota pale pale kwenye 144,500/=

Niliwahi kupiga simu customer service nikaambiwa niwe nafanya transactions mara kwa mara, ikiwezekana kila siku, kati ya M-PESA na M-PAWA, nimefanya hivyo lakini wapi.

Kuna uwezekano kuna mtu ndani anatumia account yangu kuzungusha hela? Kama sivyo, tatizo ni nini?
Yaani usinitajie kabisa huu mtandao na mniwe radhi vodacom sina jina jingine la Kuwaita zaidi ya hili "WEZI"nipo tayari najiandaa kuwa balozi wa kampeni itwayo KATAA VODACOM.
 
Yaani usinitajie kabisa huu mtandao na mniwe radhi vodacom sina jina jingine la Kuwaita zaidi ya hili "WEZI"nipo tayari najiandaa kuwa balozi wa kampeni itwayo KATAA VODACOM.

Mimi niliwakimbia Tigo kwa customer service mbovu sana, huku Vodacom nimekuja kukutana na haya.
 
Kwenye hili Vodacom wameniangusha. Labda nikiwaacha watanikumbuka!! Na siyo kwamba nilikuwa naihitaji hiyo loan kihivyo, nilikuwa nataka tu kuirase kwa emergencies za hapa na pale. Dah, kuna wakati nilikuwa najikopesha kila siku na kurudisha ili iongezeke lakini wapiii.
 
Niliwahi kudownload Branch kwenye Android phone ila simu ambayo nimekuwa naitumia zaidi kufanya miamala ipo kwenye iphone na inaonyesha app yao haipo kwenye App Store. Hivi ukiacha historia yako ya kukopa, Branch wanaangalia vitu gani vingine? Wanasema wanaangalia facebook record yako, huko na penyewe ni kama sipo.
 
Siwaelewi kabisa vodacom. Mwaka jana mwishoni nilimfungulia mama line ya Vodacom, ila amekuwa si mtumiaji sana wa line hiyo, bado anaogopa smart phone! Juzi nimecheki vifurushi vyake vya ‘Ya Kwako Tu’, inaonyesha ana vifurushi vizuri zaidi yangu wakati mimi natumia line yangu kila siku na nimespend mahela kibao kwenye huduma zao.

Ungedhani kifurushi kama kile kingekuwa kuwazawadia wateja wao wa muda mrefu na wanaotumia sana huduma zao, lakini kumbe wateja wapya na wasiotumia sana ndiyo wanazawadiwa zaidi.
Mama kapewa vifurushi vizuri zaidi maana sio mtumiaji wa mara kwa mara.
Lengo ni kumvuta mteja na baada ya hapo vinakatishwa.
 
Hii mikopo aisee.... Wanakukopesha 20,000/= unapata 16,000/=.

Ila sio mbaya kweny dharura isiyozuilika.
 
Mama kapewa vifurushi vizuri zaidi maana sio mtumiaji wa mara kwa mara.
Lengo ni kumvuta mteja na baada ya hapo vinakatishwa.

Hiyo ndiyo trick yao. Sijui tunaenda mbele au nyuma, nikikumbuka kuna wakati walikuwa hadi na vifurushi vya unlimited. Dunia ya leo ambayo kila kitu ni internet, wanakupa zawadi au offer ya 25 MB, kweli?
 
Back
Top Bottom