Nina wazo la Biashara ila sina mtaji

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Jan 3, 2018
1,816
5,151
Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.

Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.

Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
 
Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.

Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.

Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
TUKANA UONE Can u kindly share?or Hit my PM😊👋
 
Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.

Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.

Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
Mkuu hapo ni sawa na kuwa na sight mirror ila gari huna.
 
Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.

Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.

Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupati
Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.

Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.

Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
Ni biashara gani? Ungetuambia ni kitu gani unataka kufanya, gharama, na mapato. alafu tunaweza kuangalia na kuona kama tunaweza kukupa mtaji.
 
Ni biashara gani? Ungetuambia ni kitu gani unataka kufanya, gharama, na mapato. alafu tunaweza kuangalia na kuona kama tunaweza kukupa mtaji.
Mkuu hapa tatizo ukiweka kila kitu kuna watu wanachukua wazo lako wanalifanyia kazi halafu wewe unaachwa mtu.

Kwa kifupi ni biashara ya usafirishaji inayohusu Daladala na Bajaji,siyo kwamba nimiliki Daladala au Bajaji la hasha!.
 
Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.

Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.

Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
Mtaji kiasi gani?
 
Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.

Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.

Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
Sio kwa Tanzania hii wazo tu likupe mtaji hiyo ni ndoto, pambana mwenyewe upate mtaji na uanze utekelezaji.
 
Wakuu habarini za leo, natumai mko kamili gado.

Ninalo wazo kubwa la biashara ambalo likitekelezeka hakika litanipatia ukwasi wa kutupwa na nitakuwa moja ya matajiri vijana kwenye hii nchi.

Tatizo sina mtaji wa kutekeleza wazo lenyewe, nachokifanya kwa siku hizi chache nakwenda kulisajili kwa umakini mkubwa kisha natafuta wadau tulifanyie kazi naamini litatupatia mafanikio makubwa mno.
Mitaji mbona imejaa.

Anza kufanya urafiki na watu wenye pesa na wafanya biashara wakubwa, achana na mienendo yako ya sasa. Badilika.
 
Back
Top Bottom