Nina wazo hili la biashara, naombeni ushauri wa kuliboresha

Nebuchadneza

JF-Expert Member
Oct 6, 2023
415
1,030
Habari,

Nina wazo la biashara ila mtaji unazingua, nitaanza na nilichonacho.

Kwa kuwa nimeishi Dar muda mrefu na nimejuwa mitaa na chocho za Dar, hakuna sehemu utanipoteza Dar.

Basi nachofikiria kichwani mwangu, nafungua office mkoani kwakua mkoani kuna watu wanahitaji vitu mbalimbali ila kuvipata kwa bei isiyoumiza/bei ya juu hawajui sasa nataka niwenawanunulia city Dar then nafanya deliverance kwenye office yangu wanakuja kivipokea.

Hapo nitakuwa na bargain na mtu anayehitaji nimchukuliwe vitu dar, hapo anilipe mda wangu nitakao utumia kumtafutia vitu anavyotaka,alipe ela ya usafiri.

Naombeni msaada ni boreshe wapi, au niongeze kipi ili iliwazo liwe safi, nimeona niandike wazi hapa ili wengine wapate wazo la hii biashara, ili vijana tujikwamue na haya maisha ya madafu.

Karibuni kwa mchango wenu.
 
Ungeanzisha kama miaka kumi iliyopita sahivi ungekuwa umeshapanda stage ungekuwa unaagiza china,turkey na india


Iko hivi zamani mwamko wa biashara mtandao haukuwa kama sasa na sasa hivi wale wafanyabiashara wakubwa wa kkoo nao wapo mtandaoni pia wanatafuta wateja kama unataka uifanye kwa upana zaidi ni lazima utatumia mtandao ili u access watu wengi sasa kwakuwa tayari kuna changamoto mkuu sikushauri sana labda ufanye kwa udogo ili kupata ela ya kuishi sio maokoto

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ungeanzisha kama miaka kumi iliyopita sahivi ungekuwa umeshapanda stage ungekuwa unaagiza china,turkey na india


Iko hivi zamani mwamko wa biashara mtandao haukuwa kama sasa na sasa hivi wale wafanyabiashara wakubwa wa kkoo nao wapo mtandaoni pia wanatafuta wateja kama unataka uifanye kwa upana zaidi ni lazima utatumia mtandao ili u access watu wengi sasa kwakuwa tayari kuna changamoto mkuu sikushauri sana labda ufanye kwa udogo ili kupata ela ya kuishi sio maokoto

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Nashukuru
 
Hamna biashara ambayo haifanyi delivery mikoani. Na kwa sasa bei zinajulikana na ushindani upo. Na bado kuna changamoto za warranty kama mzigo ukipotea au kuharibika. Hii business idea nakushauri achana nayo sababu umesema huna mtaji. Ungekuwa na mtaji ungeanzisha kampuni ya kuagiza mizigo na kutuma wa mikoani wawe wanakutumia au wauzaji wa Dar wakutumie usafirishe mizigo yao. Kama sehemu hufiki unafaulisha kwenye mabasi
 
Hamna biashara ambayo haifanyi delivery mikoani. Na kwa sasa bei zinajulikana na ushindani upo. Na bado kuna changamoto za warranty kama mzigo ukipotea au kuharibika. Hii business idea nakushauri achana nayo sababu umesema huna mtaji. Ungekuwa na mtaji ungeanzisha kampuni ya kuagiza mizigo na kutuma wa mikoani wawe wanakutumia au wauzaji wa Dar wakutumie usafirishe mizigo yao. Kama sehemu hufiki unafaulisha kwenye mabasi
Nashukuru
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom