kuna mwingine ukimtengeneza anatengenezeka vizuri tuπ€Mnaowataka ni hao ila tupo sisi tunaovaa jinsi na jezi tunanukia fukuto la joto la mahangaiko
Inaitwa tonja huku kwetu, jamani zinanuka vibayaπ«’ππ½ββοΈMnaowataka ni hao ila tupo sisi tunaovaa jinsi na jezi tunanukia fukuto la joto la mahangaiko
Ila ndio tuliopoInaitwa tonja huku kwetu, jamani zinanuka vibayaπ«’ππ½ββοΈ
Unataka kusema unataka kunitengeneza?kuna mwingine ukimtengeneza anatengenezeka vizuri tuπ€
Nyie mna kundi lenu pendwa subirini lije..Ila ndio tuliopo
Lipi hiloNyie mna kundi lenu pendwa subirini lije..
mi sijasema nakutaka jamniπUnataka kusema unataka kunitengeneza?
Kupanga ni kuchagua
Hiyo ngozi kulegea na kuwa laini ni hatua za kuelekea kwenye uzee. Kama hiyo ndio sample inayokupagawisha, ukimuoa leo ni matumaini yangu miaka 10 ijayo utavumilia kupiga K yenye makunyanzi ya uzeeSidhani kama ni Addiction
Hata mi Napenda saana wanawake wa hivyo yaani 40+ wenye Nyama laini ambazo zimeanza kushuka haswa nyuma ya mkono kwa juu kati ya kiwiko na Bega (Biceps Brachii) na kwenye mgongo.
Naamini hii ni ladha ambayo inapendwa na wanaume wengi (Kama wengine Wanavyopenda wembamba saana )
Unajikuta unapenda aina ya wanawake hao haswa ukiizoea na Mara nyingi inaweza kuwa kwenye ujana wako ulianza mahusiano na wanawake wa type hii au pia labda Ulidekezwa na kuwekwa karibu na wanawake wa aina hii kwa mfano mama yako hivyo ukajikuta akili yako inakuwa safe na ku enjoy kuwa na wanawake wa hivi.
Na Mimi naamini Hawa ni watamu saana yoyote ambaye hajawahi kujaribu ajaribu wanawake wa 40+ Mmhh hautorudi kwa watoto wadogo
Challenge ya wanawake wa 40+ wengi wanakuwa kwenye commitment zao au kama hawapo huko wengi wako depressed washapigwa saana matukio so wanakuwa very difficult
Na kama unatafuta mwanamke wa hivi kumuoa ni ngumu sana kumpata mi binafsi ni mwaka wa sita natafuta wa hivi kumuoa sijafanikiwa sio kwamba siwapati lakini wengi nao kutana nao Eidha wanasababu hizo mbili so tunashindwa kuendelea
Basi hapo mambwa yananuna yakisikia mwenzao anatupenda mashangazi..!! πΉπΉπΉDaaah, kweli βthere is someone for everyoneβ π€£π€£ wamama wanajikatiaga tamaa kumbe kuna kama hawa wanawaelewa.
Lamomy endelea kula maisha mahi, wa kufanana naye anasubiri uzeeke zeeke kidogo π€£π€£
Embu mtafute wa miaka 65 and above uone habari yakeaiii tunafanana tatizo jinsia uwihπ€ΈββοΈ,, wababa kuanzia 40 alf smart ananukia huwa,naishiwa pawa upendo wao huwa sio wa kubahatishaπ unatritiwa kama ka princess vileπ€,, nilijaribu maramoja nikapagawa mazima
huyo hapana maana atakua ameshaanza kuota mvi alf ndo ukute ni wazee wa kibongo bongo hata mazoezi hafanyi kuweka mwili sawa we kuwezaπΆββοΈEmbu mtafute wa miaka 65 and above uone habari yake
wapi nimesema ya kuwa unanitaka? Sema ukinitaka sikatai vilevile πmi sijasema nakutaka jamniπ
MMMMH UNAJISEMESHA TU HUPEND NYUMBA?ulivyoanza kutaja habari za nyumba umenikosa babuπΆββπΆββοΈ,, mi sipendagi misifaπ na maneno tupu