Nina uraibu wa wanawake age go

Nina uraibu wa wanawake age go

1772700936121.jpeg
 
Mitandao ya kijamii ina tabia ya kukupa kwa wingi kile unachopenda kukiangalia. Ukianza kula watu wazima basi utakuwa unapenda kuwala wao tu mabinti utakuwa unawaona fakeni. Na ukiwa unakula watu wanene utawapenda kuliko wembamba
 
Sidhani kama ni Addiction

Hata mi Napenda saana wanawake wa hivyo yaani 40+ wenye Nyama laini ambazo zimeanza kushuka haswa nyuma ya mkono kwa juu kati ya kiwiko na Bega (Biceps Brachii) na kwenye mgongo.

Naamini hii ni ladha ambayo inapendwa na wanaume wengi (Kama wengine Wanavyopenda wembamba saana )

Unajikuta unapenda aina ya wanawake hao haswa ukiizoea na Mara nyingi inaweza kuwa kwenye ujana wako ulianza mahusiano na wanawake wa type hii au pia labda Ulidekezwa na kuwekwa karibu na wanawake wa aina hii kwa mfano mama yako hivyo ukajikuta akili yako inakuwa safe na ku enjoy kuwa na wanawake wa hivi.

Na Mimi naamini Hawa ni watamu saana yoyote ambaye hajawahi kujaribu ajaribu wanawake wa 40+ Mmhh hautorudi kwa watoto wadogo

Challenge ya wanawake wa 40+ wengi wanakuwa kwenye commitment zao au kama hawapo huko wengi wako depressed washapigwa saana matukio so wanakuwa very difficult

Na kama unatafuta mwanamke wa hivi kumuoa ni ngumu sana kumpata mi binafsi ni mwaka wa sita natafuta wa hivi kumuoa sijafanikiwa sio kwamba siwapati lakini wengi nao kutana nao Eidha wanasababu hizo mbili so tunashindwa kuendelea
Daaah, kweli “there is someone for everyone” 🤣🤣 wamama wanajikatiaga tamaa kumbe kuna kama hawa wanawaelewa.

Lamomy endelea kula maisha mahi, wa kufanana naye anasubiri uzeeke zeeke kidogo 🤣🤣
 
aiii tunafanana tatizo jinsia uwih🤸‍♀️,, wababa kuanzia 40 alf smart ananukia huwa,naishiwa pawa upendo wao huwa sio wa kubahatisha😝 unatritiwa kama ka princess vile🤗,, nilijaribu maramoja nikapagawa mazima
Mnaowataka ni hao ila tupo sisi tunaovaa jinsi na jezi tunanukia fukuto la joto la mahangaiko
 
Back
Top Bottom