mkuyati og
JF-Expert Member
- Apr 19, 2011
- 821
- 587
Wapendwa wenye uchungu na nchi hii, hivi ingekuwa vipi kama teknolojia ingeruhusu kumpiga risasi mtu unayemuona kwenye television na kumuua kwa kupitia tv hiyo hiyo?? Hali ingekuwaje katika hizi wiki mbili zilizopita?! Sipati picha