chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Daaaah nakumbuka sana kipindi kile cha msotoNimefurahi kumuona Chichimizi humu sijui mimi nilipotea au yeye alipotea maana toka ajira zitoke kaadimika
Daaaah nakumbuka sana kipindi kile cha msotoNimefurahi kumuona Chichimizi humu sijui mimi nilipotea au yeye alipotea maana toka ajira zitoke kaadimika
Kuna tofauti kati ya "Sup" na "carry" ....kimeo chako ni carry forward ndio maana unarudia somo upya.........umemaliza chuo lakini hujahitimu !!!!!!!!!Asalam wakuu!
Nimemaliza chuo mwaka jana na nimesomea degree ya ualimu chuo kikuu cha UDOM tatizo langu ni kwamba nimeshikwa kozi moja ambayo natakiwa niirudie kuisoma semister ya pili pamoja na hawa mwaka wa tatu, kuhusu fomu zakuchagua halmashauri/wilaya za kwenda kufanyia kazi tulishajaza tangu mwaka jana, swali langu ni je kuna uwezekano wa kutochaguliwa mwaka huu kwa sababu a hicho "kimeo" changu?
Mwenye uzoefu na hii naomba anijuze.
Sio muhongo ni mulugoWe hukumsikia Muhongo alisema supplementary ni somo kama masomo mengine. Hapo ni lazima uchomoe hiyo kijana vuta subira hadi mwakani.
True philip mulugoSio muhongo ni mulugo

Utaajiriwa mkuu ila kaza msuli ukitoe usije ukang'ang'aniwa
oky mkuuAjira uanweza kupata isipokua hapo Kwenye Salary ndo HUPATI
Mkuu usimtishe hiyo salary ataipata sana ila awe private serikalini wanahitaji chetu na hawezi kupewa cheti kama hajachomoa kimeo chakeAjira uanweza kupata isipokua hapo Kwenye Salary ndo HUPATI