Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 4,051
- 6,473
Kila siku tunawaambia Mwanamke Kosaa helaa ndo utajuaaa balaa lakee... Hayo majibu kakupa sababu tu mlikwaruzana kisa PESAAAA... yaliwahi kunikutaa yani pesa ikiwepoo atakuwa na mahaba huyoo na huo ujinga haongei kabisa ilaa Pesa iishe sasa weeee...!!
TABIA YA MWANAMKE INAONGOZWA NA PESAAA...
Sent using Jamii Forums mobile app
Haa ha ha...!! sasa tafutaa helaa kuachaa sio jibuu... utaacha wangapi??? hela ikiisha wana maneno ya shomboo balaaa...nimeisoma hiyoooooooooooooooooo
kweli kaisa mwanawane wanawake ukishakosa mapenez shida baba shida tuu. hawa sio wakuwapenda maana utalia wewe mwishowe. wakugegeda tuu na kutupa kule.
kweli kabisa mkuuHaa ha ha...!! sasa tafutaa helaa kuachaa sio jibuu... utaacha wangapi??? hela ikiisha wana maneno ya shomboo balaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
nimejitoa mkuu acha alee huenda hata sio yangu.Demu ameshakuona wewe boya, muoga na unajipendekeza basi atakupelekesha mpaka basi. Yaani unaambiwa fanya yako bado tu unamung'ang'ania dah!!
Sent using Jamii Forums mobile app
bora kuwachukulia chombo cha starehehao ndio wanawake bwana wewe kijana.....dah bora mie nawachukuliaga kama chombo cha starehe stress hizi hazipo kabisaaa.
wewe muache alee mwenyewe unadhani mchezo bwana wewe kulea mtoto peke yako.
Haa ha ha...!! sasa tafutaa helaa kuachaa sio jibuu... utaacha wangapi??? hela ikiisha wana maneno ya shomboo balaaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kutuma as if nothing happened! After all hiyo ni kwa faida ya mahisiano yako na mtoto kwa siku za baadaye. Hivyo anavyofanya ni kawaida maana si ajabu analazimisha umuoe na alikulengeshea. Kama ni hivyo, hicho ni kiboko anakutandika. Vumilia tu kila siku tuma ujumbe wa kumjulia khali asubuhi mchana na kabla hujalala. Akishajifungua nawe lipiza kwa kumuignorehuyu hajibu sms wala kupokea simu inakuwaje? niendelee kunyenyekea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana maaana,kama ni hivyo,na nakuuu maneno ya mtu humu ndani amesema Kiranga komo na Mimi nasema hicho Kiranga komoooooooTabia yake ni hii hii tangu kabla ya mimba mwaweza weka appointment ya kukutana sehemu fulani, akifika tu anakuambia me naondoka, yaani ni mwepesi wa kugeuza njia, kuna kipindi tulikorofishana ndani ya week akaanzisha mahusiano mapya na watu wawili
Kama kabla ya mimba hakufaii huyooo...!! piga chiniiTabia yake ni hii hii tangu kabla ya mimba mwaweza weka appointment ya kukutana sehemu fulani, akifika tu anakuambia me naondoka, yaani ni mwepesi wa kugeuza njia, kuna kipindi tulikorofishana ndani ya week akaanzisha mahusiano mapya na watu wawili
Huyu mbele atakusumbua. Ila sema nini, kwa hali aliyonayo wee mchukulie kama alivyo. Akiongea shit zake nyamaza usiwe na time naye hadi akutafute wwewe. Hii tabia ya wewe kum petty petty anajiona keki sana wakati wee unataka mema.
Kama alianza kusumbua muda basi usijistress, hivyo ndivyo alivyo. Sasa kaa chini tafakari uone kama utaweza kumudu tabia mkiwa mke na mume. Ukishafanya hivyo utaamua maamuzi sahihi kwako. Kila la heri