Nina stress sana, ushauri unahitajika

Nina stress sana, ushauri unahitajika

We kuwa mpole tu .Huyo manzi umempa mimba hata huishi naye kuna mengi umetuficha .Hebu mtibitishie ndoa kama ajatulia
 
Habari za wakati huu.

Ninaandika hapa nikiwa na msongamano wa mawazo mengi, huyu mwanamke ambaye ni mpenzi amekuwa akinipasua kichwa sana, ni mwepesi wa kubadili maamuzi bila kufikiria kuwa ni kiasi gani inaweza kutugharimu.

Ana ujauzito wangu ila kila tutakapokwaruzana anakimbilia kusema atalea mwenyewe hahitaji msaada wangu wala hanitegemei sana, nikitaka nijitoe tu, sasa nabaki na maswali, mwanangu nahitaji tumlee pamoja wazazi wake wawili, ikiwa nina mpango wa kumuoa nije kuishi naye, ila najiuliza sana kama tutafika mwisho wa safari, ili yeye aendelee kuwa na mimi inanilazimu nimnyenyekee sana, hebu nishaurini wakuu nifanyaje maana nahisi kuchanganyikiwa.

UPDATE; Comment number 5 nimeweka screenshot ya maongezi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kakusingizia mimba nafsi inamsuta. Mkikwaruzana anajua unashtikia issue. Watu wengi wamelea watoto ambao sio wao unakuja kunyanganywa mtoto kashakua. Alizaliwa ukapume DNA vinasaba ili kuepusha kilio kikubwa hapo baadae kwasababu kama hili linakupa stress sasa je ulee na kusomesha alafu baba yake ndio anajitokeza siutakunywa sumu wewe
Usipoziba ufa utajenga ukuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom