Nina stress sana, ushauri unahitajika

Nina stress sana, ushauri unahitajika

Habari za wakati huu.

Ninaandika hapa nikiwa na msongamano wa mawazo mengi, huyu mwanamke ambaye ni mpenzi amekuwa akinipasua kichwa sana, ni mwepesi wa kubadili maamuzi bila kufikiria kuwa ni kiasi gani inaweza kutugharimu.

Ana ujauzito wangu ila kila tutakapokwaruzana anakimbilia kusema atalea mwenyewe hahitaji msaada wangu wala hanitegemei sana, nikitaka nijitoe tu, sasa nabaki na maswali, mwanangu nahitaji tumlee pamoja wazazi wake wawili, ikiwa nina mpango wa kumuoa nije kuishi naye, ila najiuliza sana kama tutafika mwisho wa safari, ili yeye aendelee kuwa na mimi inanilazimu nimnyenyekee sana, hebu nishaurini wakuu nifanyaje maana nahisi kuchanganyikiwa.

UPDATE; Comment number 5 nimeweka screenshot ya maongezi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona kam nakufham??

Kuna mshkj wangu katoka kunipa stor kam iyo nusu saa ilopita ,kasem nimshauri na yupo mtwara

Vip ni wee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za wakati huu.

Ninaandika hapa nikiwa na msongamano wa mawazo mengi, huyu mwanamke ambaye ni mpenzi amekuwa akinipasua kichwa sana, ni mwepesi wa kubadili maamuzi bila kufikiria kuwa ni kiasi gani inaweza kutugharimu.

Ana ujauzito wangu ila kila tutakapokwaruzana anakimbilia kusema atalea mwenyewe hahitaji msaada wangu wala hanitegemei sana, nikitaka nijitoe tu, sasa nabaki na maswali, mwanangu nahitaji tumlee pamoja wazazi wake wawili, ikiwa nina mpango wa kumuoa nije kuishi naye, ila najiuliza sana kama tutafika mwisho wa safari, ili yeye aendelee kuwa na mimi inanilazimu nimnyenyekee sana, hebu nishaurini wakuu nifanyaje maana nahisi kuchanganyikiwa.

UPDATE; Comment number 5 nimeweka screenshot ya maongezi.


Sent using Jamii Forums mobile app


usikute hiyo mimba si yako, unachangia na mwingine na ndiyo maana anakuambia anayokuambia.
 
Mimba zinawavuruga hawa viumbe sometimes. Just be gentleman. Akiongea shit, mrushie vocha, halafu muulize umeipata mke wangu? Nakupenda sana.
Unampoteza mwenzako, wanawake qa siku hizi sio wa kutreat hivyo.. Yeye amwambie tu kama hataki poa, alafu mwenyewe ataenda kulalamika kwa wazazi wake then baada ya hapo ndo mnakaaa chini mnayajenga maisha yanaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah haya mambo yanachanganya kidogo, sasa hapo waweza kataa na ukaruka kumbe mimba ni yako
Chukua maamuzi magumu kidogo

Mkaushie kwanza kwa mda kidogo zen atakutafuta tu,na asipokutafut wew mcheck uone kam kuna mabadiliko

NB: YAKUAMBIWA CHANGANYA NA YAKO,,,akili yako ndo serikali yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mkuu niipokee nisiipokee maana sielewi
Mkuu Huyo dem anataka achukue advantage ya Mimba akuendeshe, mwambie maneno hayo asirudie tena na kama akirudia mwambie poa iwe hivyo, Yeye mwenyew ataanza kulalamika either kwako au kwa wazazi wako then hapo ndo mnakaa chin mnazungumza mtaishi fresh tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jana tu nimemkaushia kanitafuta asubuhi anasema amesahau ya jana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi apo nazan ushapata majibu ya kutosha unadate mtu wa aina gan

Usipate tabu saan mkuu apo toa maamuzi wdw mwenyew tu ,ukija umu jf njoo upunguze stress ila maamuzi ni juu yako

NB YAKUAMBIWA CHANGANYA NA YAKO,akili yako ndo serikali yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom