Mao ze dong
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 941
- 1,014
Iyo mimba sio yako braza . we subir dogo azaliwe utaona anafanana na masudakayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
ilikuwa typing error mkuuUlifuta nini hapo tueleze maana ulitakiwa ufute na iyo "you deleted this message"

Yawezekana kweli mkuu, siamini ninachokiona.Iyo mimba sio yako braza . we subir dogo azaliwe utaona anafanana na masudakayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
anasumbua vibaya sana mkuuHii kawaida kwa akinamama! Anaweza kutamka jambo na kesho ukimuuliza anakana. Jifanye mjinga mpaka ajifungue na akijifungua pima DNA na ukikuta wako anzisha mtiti au akuheshimu
Bora wewe umeambiwa atalea mtoto pekeake maana yake utamuona huyo mtoto, mimi leoleo nimeambiwa mimba yangu itatolewa.Habari za wakati huu.
Ninaandika hapa nikiwa na msongamano wa mawazo mengi, huyu mwanamke ambaye ni mpenzi amekuwa akinipasua kichwa sana, ni mwepesi wa kubadili maamuzi bila kufikiria kuwa ni kiasi gani inaweza kutugharimu.
Ana ujauzito wangu ila kila tutakapokwaruzana anakimbilia kusema atalea mwenyewe hahitaji msaada wangu wala hanitegemei sana, nikitaka nijitoe tu, sasa nabaki na maswali, mwanangu nahitaji tumlee pamoja wazazi wake wawili, ikiwa nina mpango wa kumuoa nije kuishi naye, ila najiuliza sana kama tutafika mwisho wa safari, ili yeye aendelee kuwa na mimi inanilazimu nimnyenyekee sana, hebu nishaurini wakuu nifanyaje maana nahisi kuchanganyikiwa.
UPDATE; Comment number 5 nimeweka screenshot ya maongezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ignore tu kwani mnakaa wote?
Ni muda sasa amekuwa akilazimisha alee mwenyewe nashindwa kuelewa.
hapana, nimeamua kweli kuignore alee mwenyewe anavyotaka, maana siwezi force mambo.Ignore tu kwani mnakaa wote?
wanasumbua sana hawa viumbe.Bora wewe umeambiwa atalea mtoto pekeake maana yake utamuona huyo mtoto, mimi leoleo nimeambiwa mimba yangu itatolewa.
Thanks mkuu ngoja nimpotezee kwanza kama miezi sita tumbo lijae akae sawa.Kwanza nikupongeze wew ni kijana shupavu ambaye upo tayari kulea kiumbe Mungu atachokuletea dunian!. hongera sana
Pili unajua watoto wakike hawa saa nyingine huwa wanaleta shida.sasa cheza na saikolojia yake wewe naomba ukae kimya kama wiki au mwezi lazima akutafute.Usioneshe kunyenyekea sana. Damu nzito kuliko maji Usiohofu juu ya mtoto wako.
Sawa mkuu.Huu ndiyo uchafu wa zinaa.
Mnapoambiwa msifanye uzinzi na uasherati nyie mnajifanya mnajuwa zaidi kuliko aliyewaumba.
Kwetu tunasema, kiranga komo.
Stress free.Sawa mkuu.
Hapo galilaya mnaendeleaje.
Mpaka kakubali kukubebea mimba, anakupenda. Namna utakavyo react kutokana na action zake, kunaweza kukapelekea mkaachana. Namna nzuri ya kuachana nae, subiri akishajifungua, hudumia kachanga, pima uelekeo. Ikiwa hali bado tete, tafuta mpango wa kando. Ukiona huko kuna afadhali, hamishia majeshi.