Nina stress sana, ushauri unahitajika

Nina stress sana, ushauri unahitajika

Kwanza tujue....#1. kabla ya kupata mimba alikuwaje??? Siamini sana kwenye "Ohhh mimba inaweza ikamchukia mtu"and all that but dunia ni ya maajabu. Na #2. Umemfanya nini mtoto wa watu??

Ila kuwa muangalifu, usiruhusu hisia zako zikakutawala sana (it seems unampenda mno) kwasababu kuna uwezekano #1. Wewe sio chaguo lake. #2. Mimba sio yako na anajaribu kujiachanisha wewe.
 
Unampoteza mwenzako, wanawake qa siku hizi sio wa kutreat hivyo.. Yeye amwambie tu kama hataki poa, alafu mwenyewe ataenda kulalamika kwa wazazi wake then baada ya hapo ndo mnakaaa chini mnayajenga maisha yanaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani wenzangu huwa mnachaguaje hawa wanawake wa kupandikiza mbegu zenu? Mnajiokotea okotea tu
 
Kwanza tujue....#1. kabla ya kupata mimba alikuwaje??? Siamini sana kwenye "Ohhh mimba inaweza ikamchukia mtu"and all that but dunia ni ya maajabu. Na #2. Umemfanya nini mtoto wa watu??

Ila kuwa muangalifu, usiruhusu hisia zako zikakutawala sana (it seems unampenda mno) kwasababu kuna uwezekano #1. Wewe sio chaguo lake. #2. Mimba sio yako na anajaribu kujiachanisha wewe.
nashindwa kujua lipi ni lipi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za wakati huu.

Ninaandika hapa nikiwa na msongamano wa mawazo mengi, huyu mwanamke ambaye ni mpenzi amekuwa akinipasua kichwa sana, ni mwepesi wa kubadili maamuzi bila kufikiria kuwa ni kiasi gani inaweza kutugharimu.

Ana ujauzito wangu ila kila tutakapokwaruzana anakimbilia kusema atalea mwenyewe hahitaji msaada wangu wala hanitegemei sana, nikitaka nijitoe tu, sasa nabaki na maswali, mwanangu nahitaji tumlee pamoja wazazi wake wawili, ikiwa nina mpango wa kumuoa nije kuishi naye, ila najiuliza sana kama tutafika mwisho wa safari, ili yeye aendelee kuwa na mimi inanilazimu nimnyenyekee sana, hebu nishaurini wakuu nifanyaje maana nahisi kuchanganyikiwa.

UPDATE; Comment number 5 nimeweka screenshot ya maongezi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu tulia fanya mambo yako ya msingi usibishane nae kwa sasa wewe akikujibu hovyo mwambie sawa kaa kimya hili pia ninalo mie alikuja kugundua niko tayari kwa jibu lolote sasa hivi kanyooka mwenyewe pia kingine mimba huwa ina weza mfanya mwanamke kuwa mkorofi korofi hivyo usipende kujibishana nae hana namna anaongea tuu hamna aliyewahi kufanikiwa hilo analolitaka zaid atarudi na atanyooka usifanye kumuogopa atakusumbua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom