Nina sifa zote lakini sipati mpenzi, je nina gundu?


kweli watanzania bado tunaitaji kufanya kazi sana ili tuweze kukabiliana na haya mabadiliko ya kidunia na utandawazi. graduate anapofikiria ushirikina katika mapenzi na kuamua kupost thread jf ili akina ritz, faizafox,omr,mwita,zomba na............... wajue kwamba yeye ni handsome anahela kama million 2 or 3 kwenye his bank account.na maelezo kibao ya kuonyesha jinsi gani alivyokuwa akibadilisha wanawake.
jiulize nani anayekusifu kwa kuwabadili wanawake. bulll...shit.........mwenzio sijui yupo wapi naye alitokea udom akaja na habari za uhandsome apa jf. alichokipata anajua mwenyewe. jiandae kufata nyayo zake.
 
Dah, pole sana..
Lakini jina Zipompapompa mbona limekaa kike zaidi?
 

kwake hizo ni sifa "zote", kazi ipo!
 

mkuu nachelea kusema kwamba umenielewa vibaya, na wala sipo hapa kwa ajili ya kujisifu maana ni upuuzi kujisifu with anonymous id, nani anayenijua hapa jf?? Mkuu wewe hujui lakini mwenzako kila siku najiuliza sababu ni nini, may be hayajakukuta ndo maana unaona nimekuja kujisifu.
 
kwa kifupi watafuta msichana humu jf!
Au nimekosea mkuu

in short sina kawaida ya kutafuta wasichana sehem za namna hii, nimekuja ku-shere hapa mmu nikijua huenda kuna mtu ashawai kutana na ishu kama yangu, what if kama kuna kitu nakosea??
 
Unajua nini mwombe mungu mwanangu ndo mpango mzima alafu fanya urafiki na wasichana wengi esp wale unao wataka ili uweze kusort, hela ndo kila kitu mzee make more frind 2mia hela jaman.
 
unamvuto wa nje Huna swaga kwa madem ndo maana wanakupotezea be flexible jichanganye na watu mademu wako wengi sana afu usisahau ku hangout clasic areas.kila la kheri
 
in short sina kawaida ya kutafuta wasichana sehem za namna hii, nimekuja ku-shere hapa mmu nikijua huenda kuna mtu ashawai kutana na ishu kama yangu, what if kama kuna kitu nakosea??

hakuna hata binti unayeona ana kidalili cha kumind swaga zako? Au unawafungia vioo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…