Habari zenu Wakuu,
Nina mpenzi wangu na tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka mingi sana. kwenye biashara zangu nimebarikiwa kununua assets tofauti na moja ya assets hizo ni magari 3.
Huyu Mpenzi wangu ndani ya Miezi hii michache amekuwa akinishawishi niyauze haya magari ili nimjengee kwao eti kwasababu mimi nimejenga kwetu.
Nilimkatalia lakini naona mwenzangu ananisisitiza na amekuwa anahasira juu yangu.
Naombeni ushauri wakuu, niuze Magari ili kumfurahisha mpenzi wangu au nimpige chini.?
Nina mpenzi wangu na tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka mingi sana. kwenye biashara zangu nimebarikiwa kununua assets tofauti na moja ya assets hizo ni magari 3.
Huyu Mpenzi wangu ndani ya Miezi hii michache amekuwa akinishawishi niyauze haya magari ili nimjengee kwao eti kwasababu mimi nimejenga kwetu.
Nilimkatalia lakini naona mwenzangu ananisisitiza na amekuwa anahasira juu yangu.
Naombeni ushauri wakuu, niuze Magari ili kumfurahisha mpenzi wangu au nimpige chini.?