Hahahaha! Nakuona unavyouliza maswali kijanja....lolnisivutiwe tena na ninavyopenda hela kama mchaga! Hapa najifanya namuhoji hoji ili nimuopoe hendisamuboyi.
Hahahaha! Nakuona unavyouliza maswali kijanja....lol
Hapana my lv, simpeperushi kabisa...endelea kumuwinda ukimkamata nambie nijenge banda la kumuhifadhi...lolusije ukanipeperushiwa njiwa wangu bibie.
pole saana
usikwazike na waliokujibu vibaya
mimi kama mwanaume nimeelewa tatizo lako
infact ni tatizo linalowakumba watu wengi mno
hasa wale ambao chuo au high school walikuwa popular......
The best way ni kuhakikisha unajifunza new skills za kujichanganya na watu
katika adult level.....tofauti na high school......
Wadada watu wazima akikuzimia sio rahisi kukutongoza
but ukiwa mjanja utajua tu......so jifunze kuwasoma wadada
now.....ofisini au mitaani...wapo wanaokuzimia but wewe huwaoni now..
Bado unafikiri wakikuzimia,watakufuata kama high school......
Hapana my lv, simpeperushi kabisa...endelea kumuwinda ukimkamata nambie nijenge banda la kumuhifadhi...lol
Hahaha! Pole sana. Rudi zako kwa laaziz uporoto!njiwa, mwenyewe kashasepa.
Pole! Me pia natafuta ni pm!
Haya, opportunity hiyo hapo, usiseme tena mpenzi hapatikaniPole! Me pia natafuta ni pm!