Nina negative attitude na watu wa Pwani

Nina negative attitude na watu wa Pwani

We ulikuwa hujui kama yule kijana alichokuwa anakufanyia? Ndio kuliwa tigo huko, kakupatia kweli kwa ubaguzi wako si ungebaki huko porini kwenu.
punguza jaziba najua ningumu uchagua uzaliwa kabila gani!!

wala hilo kosa siwezi kulielekeza kwa wazazi!

Badala unishawishi kuwa mko safi!! unaongeza tatizo kuwa mnapigana hadi 0653!!

we kweli Baba swalehe!
 
Binafsi sijaona shida yao kubwa, labda tu suala la kutotaka kujichanganya na watu wengine. Ni wakarimu sana watu hawa
 
wakuu,
Najua mko sawa kabisa mnaendeleza harakati za maendeleo,

Back to point!!

nina tatizo sijui lilianza kipindi gani sikumbuki, ninachojua nina mtazamo mbaya sana na watu wa pwani.

Nawaona kama watu wasioweza mambo makubwa yanayohitaji ujuvi.

kwangu mimi mtu wa pwani hata akiwa daktari hospital naona kama sio mtaalamu,

Hii haukunianza baada ya baba Riz kuwa mkuu wa kaya! nitangu kipindi cha nyuma

Labda,nisaidiwe tiba kwa kunitajia watu wa pwani waliowahi kuwa viongoz na kufanya vizuri katka kada zao, labda itasaidia.

sina nia mbaya! lengo langu nipone huu mtazamo mbovu!

Aksanteni.

@samurai
@FaizaFoxy
@Zanzibar spice
@Ritz
AISEE MKUU HII KITU INAITWA ''STEREOTYPE'' KWA KIZUNGU KWA KISWAHILI SIJUI LABDA WATAALAMU WA LUGHA WASEME, KU GENERALIZE TABIA YA WATU WACHACHE KWA WATU WOOTE WA JAMII YA HAO WATU, NI ISHU AMBAYO INAKERA SANA KWA KWELI, OMBA MSAMAHA KWA HAWA WATU, WAPO WATU NILIOSOMA NAO WAMETOKA TANGA NI WATU SMART NA WANA PUSH HARD SANA KWENYE MAISHA..SIKUBALIANI NA HOJA YAKO
 
watu wa pwani walikufanya nini mzee??? haa haaa au ndo manyoya.
 
wakuu,
Najua mko sawa kabisa mnaendeleza harakati za maendeleo,

Back to point!!

nina tatizo sijui lilianza kipindi gani sikumbuki, ninachojua nina mtazamo mbaya sana na watu wa pwani.

Nawaona kama watu wasioweza mambo makubwa yanayohitaji ujuvi.

kwangu mimi mtu wa pwani hata akiwa daktari hospital naona kama sio mtaalamu,

Hii haukunianza baada ya baba Riz kuwa mkuu wa kaya! nitangu kipindi cha nyuma

Labda,nisaidiwe tiba kwa kunitajia watu wa pwani waliowahi kuwa viongoz na kufanya vizuri katka kada zao, labda itasaidia.

sina nia mbaya! lengo langu nipone huu mtazamo mbovu!

Aksanteni.

@samurai
@FaizaFoxy
@Zanzibar spice
@Ritz
unaweza kuta pia wewe ni mdini umepitia huko
 
AISEE MKUU HII KITU INAITWA ''STEREOTYPE'' KWA KIZUNGU KWA KISWAHILI SIJUI LABDA WATAALAMU WA LUGHA WASEME, KU GENERALIZE TABIA YA WATU WACHACHE KWA WATU WOOTE WA JAMII YA HAO WATU, NI ISHU AMBAYO INAKERA SANA KWA KWELI, OMBA MSAMAHA KWA HAWA WATU, WAPO WATU NILIOSOMA NAO WAMETOKA TANGA NI WATU SMART NA WANA PUSH HARD SANA KWENYE MAISHA..SIKUBALIANI NA HOJA YAKO
Dah! mkuu real G umetisha!
sio hawa wanaohemkwa kama @Mumba Daly ananifanya niendelee na steriotyping .... badala aje na hoja za kitaalamu!!

atakuwa kamaliza 4m4 Mu.lugo akiwa wazir wa wizara husika!!
 
Acheni dharau kwa watu wa pwani!huo ubaguzi wa wazi wazi
 
AISEE MKUU HII KITU INAITWA ''STEREOTYPE'' KWA KIZUNGU KWA KISWAHILI SIJUI LABDA WATAALAMU WA LUGHA WASEME, KU GENERALIZE TABIA YA WATU WACHACHE KWA WATU WOOTE WA JAMII YA HAO WATU, NI ISHU AMBAYO INAKERA SANA KWA KWELI, OMBA MSAMAHA KWA HAWA WATU, WAPO WATU NILIOSOMA NAO WAMETOKA TANGA NI WATU SMART NA WANA PUSH HARD SANA KWENYE MAISHA..SIKUBALIANI NA HOJA YAKO
Nakubaliana na hoja zako.
Kwa mkoa wa Tanga, wanaokuwa stereotyped sana ni Wadigo na Wabondei, tofauti na wenzao Wasambaa na Wazigua. Sijajua shida iko wapi
 
Watu wa pwani wengi wao waislamu. Wakarimu, Hawana roho nyeusi kama wale wanaovunja nyumba za wenzao wao wakiwa wamejimilikisha maflat nane..

Sio majambazi sana kama watu wa mikoa ya Mbeya, Shinyanga, Tabora, Mwanza..
wanaujua uchungu wa jirani ni tofauti na wale wanaofurahia jirani kulala barabarani yeye amelala kwenye kasri..

Watu wa pwani wamewakaribisha hata majambazi kwenye maeneo yao..
Watu wa pwani wameliletea taifa hili heshima kubwa kimataifa..Mungu awasaidie akina Dr.Salim, Kikwete, Mwinyi aliewanusuru wabara wasile majani,na wengineo.

Watu wa pwani hufurahia watu kupata kazi na hawafurahii kufukuza watu kazi ili wateseke.
Tunawashukuru watu wa pwani kuliwakilisha Taifa kiutamaduni, ndio maana tuna utamaduni wa mswahili kimataifa,hatuna utamaduni wa mbara..

Watu wa pwani si wa kwanza kuleta mawazo mapofu katika taifa lililojengwa kwenye misingi ya kistaarabu..

Tushukuru watu wa pwani kua wenyeji wa jiji linalowika Afrika Mashariki..
 
watu wa pwani wengi wao waislamu..
wakarimu..
hawana roho nyeusi kama wale wanaovunja nyumba za wenzao wao wakiwa wamejimilikisha maflat nane..
sio majambazi sana kama watu wa mikoa ya mbeya,shinyanga,tabora,mwanza..
wanaujua uchungu wa jirani ni tofauti na wale wanaofurahia jirani kulala barabarani yeye amelala kwenye kasri..
watu wa pwani wamewakaribisha hata majambazi kwenye maeneo yao..
watu wa pwani wameliletea taifa hili heshima kubwa kimataifa..Mungu awasaidie akina Dr.Salim,Kikwete,Mwinyi aliewanusuru wabara wasile majani,na wengineo.
Watu wa pwani hufurahia watu kupata kazi na hawafurahii kufukuza watu kazi ili wateseke.
Tunawashukuru watu wa pwani kuliwakilisha Taifa kiutamaduni,ndio maana tuna utamaduni wa mswahili kimataifa,hatuna utamaduni wa mbara..
..watu wa pwani si wa kwanza kuleta mawazo mapofu katika taifa lililojengwa kwenye misingi ya kistaarabu..
tushukuru watu wa pwani kua wenyeji wa jiji linalowika afrika mashariki..
Aksante @Sharif, una hoja

ila hapo kwenye " hawawezi kumfukuza mtu kazi ili ateseke " kama ni dongo kwa jpm na fagio kwa Jk!!
 
ah, umefanya kufunguliwa unaweza wa minyoo. http://s01.jamiiforums.com/mini/ezoj/bg_FFFFFF/txt_DEDEDE/border_FFFFFF/flags_1.jpg
Haiishii hapo tu yaani mtu wa pwani kama wewe @milica kuwa jf senior member bado napata shida umewezaje!! au moderator ni Lubuva!

samahan Hivi akina Nyoso ni wapwani pia!!
 
Vijana wa pwani sio jambo la ajabu kukuta kijana wa miaka 40 bado anategemea wazazi....
 
Vijana wa pwani sio jambo la ajabu kukuta kijana wa miaka 40 bado anategemea wazazi....
mkuu funguka zaidi!

sasa huyo si mbaba kabisa

kwani prince bado yupo kwa the former headmaster bado!
 
Taja matatizo yao ili tujue kama yako pwani tu.
 
Back
Top Bottom