Taja matatizo yao ili tujue kama yako pwani tu.
Taja matatizo yao ili tujue kama yako pwani tu.
Kunywa gahawa mda wa kaziTaja matatizo yao ili tujue kama yako pwani tu.
Ngoja niishie hapo mkuu.....nisijegombana na wenyeji wangu bure....mkuu funguka zaidi!
sasa huyo si mbaba kabisa
kwani prince bado yupo kwa the former headmaster bado!
@kasigazi kalungi kwani baridi ya lushoto inaeffect fulani eh!!Kusema ukweli mimi naungana na mleta mada, hawa watu huwa nawadharau sana hata kama ni kiongozi alafu huwa nawaona watu wasiokuwa siriaz. Hii imeanza nilipoanza kusoma nao Tambaza, chuo na kipindi nafanya tempo kwenye NGO ya plan internation iliyopo Kisarawe ambapo nilipata fursa ya kuwatembelea sana.Ila wasambaa wa Lushoto kidogo wanajielewa labda ni kutokana na baridi.
@MeinKempf sio mtu wa pwani coz bila hiyana kapatia nitokako!!!Bila shaka unatokea Kanda ya kaskazini
duuuu...haya bana.@MeinKempf sio mtu wa pwani coz bila hiyana kapatia nitokako!!!
wapwani utawajua tu, kwakwenda chaka!!
Issues sio maendeleo kwa ujumla mkuu!!Watu wazuri (whatever the meaning) wapo sehemu zote za Tanzania. Mimi sio mtu wa Pwani lakini ningependa mleta maada aseme anatoka wilaya gani ili watu waseme ya kwao.
Hivi tunajidanganya kuwa kuna sehemu zimeendelea sana Tanzania?
Maisha yamenifanya niishi nao hawa watu kwenye mkoa wao.
Ninadhani ni watu wanaochangia kuirudisha nyuma Tanzania yetu.
"You are just giving a dog bad name "Wachaga nyie tukaneni watu wa pwani lakini kaeni mkijua hamtakuja kuingia ikulu ili muibie nchi zaidi, nyie mlio serious na watu wenye akili si tunaona jinsi mlivyoigeuza tz kuwa kama ulaya? Tutamuomba Mungu atuondolee hili taifa la watu wa pwani ili wachagga mlio na akili kama watu wa israel mtawale tz
Sasa kama kabila lako lina akili c ubaki nalo watu wapwani wazuia vipi akili na uelewa wa kabila lenu!? Tanzania hii pwani ina asilimia ngapi kwani??"You are just giving a dog bad name "
mie sio mchagga,
nashukuru Mungu pia kabila langu limewahi kutoa rais wa nchi hii!!