sitaki kutoa maana ya neno @Bandiwe kwa lugha yangu ya kwanza , ntaonekana muhuni!!..... Umesahau wizi na ufisadi mnao fanya ! Mnashirikiana mpaka na Maaskofu wenu kuiba ! Mmeanzisha na Banki ili kutakasa fedha haramu. mtukufa midomo wazi makafiri wakubwa nyie ! @Sumu
Mimi na mshangaa huyu mtu wa majivuno, anadharau watu wa pwani na kuwatukana mtandaoni
Kweli si unamuona mkwere hana hata shida kusema kuwa mnasema....ndio kwanza yeye ana cheka cheka tu.unajipa shida tu rohoni mwako wenzako hawapungui hata nukta
maisha yenyewe mafupi haya ukisema usikilize ya watu utajikuta maisha yako yote unasikiliza watu, walianza wanaume wa dar wakaona wamo pia ndugu zao waliotoka huko wapo dar now wameamua waje hivi, we dont careKweli si unamuona mkwere hana hata shida kusema kuwa mnasema....ndio kwanza yeye ana cheka cheka tu.
Sio kwamba wametukaribisha , ni kwamba wao wenyewe fursa za hapa hawaziwezi , ni lazima tuje tuwasaidie kuzichukua na kuzichangamkia...Lakini ndio Hawa Hawa wa Pwani wametukalibisha wa Bara kwenye mji wao!!!! Hilo tu linafaa kuwakubali na kuwaheshimu... Kuna Mikoa Ina ubinafsi Sana.
Watu hawa wa pwani wameponzwa na lishe yao, imewafanya kudumaa akili maskini hawa watu wa watu.. mm huwa nawaonea huruma sanawakuu,
Najua mko sawa kabisa mnaendeleza harakati za maendeleo,
Back to point!!
nina tatizo sijui lilianza kipindi gani sikumbuki, ninachojua nina mtazamo mbaya sana na watu wa pwani.
Nawaona kama watu wasioweza mambo makubwa yanayohitaji ujuvi.
kwangu mimi mtu wa pwani hata akiwa daktari hospital naona kama sio mtaalamu,
Hii haukunianza baada ya baba Riz kuwa mkuu wa kaya! nitangu kipindi cha nyuma
Labda,nisaidiwe tiba kwa kunitajia watu wa pwani waliowahi kuwa viongoz na kufanya vizuri katka kada zao, labda itasaidia.
sina nia mbaya! lengo langu nipone huu mtazamo mbovu!
Aksanteni.
@samurai
@FaizaFoxy
@Zanzibar spice
@Ritz
Newewe pia Ni mmoja ya wanaoirudisha nyuma Tanzania, kwa kukimbia maisha magumu kwenu Na kukimbilia pwani, usione vya eleya.........Maisha yamenifanya niishi nao hawa watu kwenye mkoa wao.
Ninadhani ni watu wanaochangia kuirudisha nyuma Tanzania yetu.
Ingekua vyema ukarudi mkoani kwenu ukawaacha watu wa pwani kwaoMaisha yamenifanya niishi nao hawa watu kwenye mkoa wao.
Ninadhani ni watu wanaochangia kuirudisha nyuma Tanzania yetu.
Ebu weka kile wewe binafsi unadhani unawazidi watu wote wa pwani.Watu hawa wa pwani wameponzwa na lishe yao, imewafanya kudumaa akili maskini hawa watu wa watu.. mm huwa nawaonea huruma sana
Hili Ni janga la nchi mzima mkuu, kila uendapo wapo Na ukilazimisha maisha umepotea, ama utasikia yaliyotokea Iringa wanaume kuwa shoga.Vijana wa pwani sio jambo la ajabu kukuta kijana wa miaka 40 bado anategemea wazazi....
Fursa gani umetumia wewe mkata nyasi, mbona mnapenda sifa? Unaweza kumuona mtu ana pea moja ya viatu anazurura nayo toka kinondoni hadi mbagala na kuuza hauzi, sasa ndo fursa hizo?
Watu wa PWANI kuweni wapole jamani , ni majadiliano tu hapa na sio ugomvi , naona mnaanza kuleta mipasho ya taarabu hapa, maana that is what u guys do best.... poleni sana...Ebu weka kile wewe binafsi unadhani unawazidi watu wote wa pwani.
Ingekua bora ubaki huko kwenu au fursa hakuna???Sio kwamba wametukaribisha , ni kwamba wao wenyewe fursa za hapa hawaziwezi , ni lazima tuje tuwasaidie kuzichukua na kuzichangamkia...
Huyo mzururaji toka kino anabandiko la mkoa atokako kwani?Fursa gani umetumia wewe mkata nyasi, mbona mnapenda sifa? Unaweza kumuona mtu ana pea moja ya viatu anazurura nayo toka kinondoni hadi mbagala na kuuza hauzi, sasa ndo fursa hizo?
Ebu weka kile wewe binafsi unadhani unawazidi watu wote wa pwani.
Kwanza mimi katika hatua zangu mbalimbali za kusoma , nyie watu mlikuwa wachache sana kama sio hampo kabisa , hususan kwenye elimu ya juu ,,, maskini watu wa pwani kwenye vyuo vikuu ni wa kuhesabika , compared na watu kama wachaga, wanyakyusa, wahaya na jamii zingne... kwa kweli sijajua ni kwa nn wapo wachache namna hii , naombeni kusaidiwa tafadhali...Fursa gani umetumia wewe mkata nyasi, mbona mnapenda sifa? Unaweza kumuona mtu ana pea moja ya viatu anazurura nayo toka kinondoni hadi mbagala na kuuza hauzi, sasa ndo fursa hizo?
Kwetu fursa hakunaIngekua bora ubaki huko kwenu au fursa hakuna???