Basi washukuru watu wa pwan kwa fursa waliyokupa lasivyo jembe lingekuhusu huko kwenuKwetu fursa hakuna
Basi washukuru watu wa pwan kwa fursa waliyokupa lasivyo jembe lingekuhusu huko kwenuKwetu fursa hakuna
Sitokei kwenye jamii ya wakulima mkuu,Basi washukuru watu wa pwan kwa fursa waliyokupa lasivyo jembe lingekuhusu huko kwenu
@Mumba Daly post zako zimejaa ufirauni na kama wewe ni teenager usije kuoa na kama umeoa basi wanawake wanavumilia mengi!!Yamekuingia unaomba poo,mji una wenyewe mtaishia kuzunguka na madeli ya kahawa na kuuza maji baridi vituoni halafu ikifika usiku mnajipeleka kwenye vibaraza vya wahindi halafu kinachotokea usiku unafanya siri mwisho unakuja
kuzoea
Kwa hiyo kwanza unakiri kuwa elimu imewapitia kushoto?? Nashukuru sana kwa kuwa muwazi na mkweli wa nafsiInawezekana kuhusu hilo swala kusoma usiwaone huko kwani sote tunajua mikakati inayofanywa ktk kuhakikisha hatuchomozi lakini kat kusaka mafanikio kuna namna nyingi na wengi wetu tumejikita kwenye biashara na maisha yanaenda.
Kuna neno la ukali nimeliandika, au majadiliano maana take sio neno kwa neno, binafsi hayanisumbui hakuna kwasababu hakuna kwenye hoja hapa.Watu wa PWANI kuweni wapole jamani , ni majadiliano tu hapa na sio ugomvi , naona mnaanza kuleta mipasho ya taarabu hapa, maana that is what u guys do best.... poleni sana...
Sijakuelewa mkuuKuna neno la ukali nimeliandika, au majadiliano maana take sio neno kwa neno, binafsi hayanisumbui hakuna kwasababu hakuna kwenye hoja hapa.
Wenye Elimu nchi hii Ni nani bwana, acha kujitamba ikiwa hata stick za kujichokonolea meno tunaagiza nje,hiyo Elimu yenu inatusaidiaje?Kwa hiyo kwanza unakiri kuwa elimu imewapitia kushoto?? Nashukuru sana kwa kuwa muwazi na mkweli wa nafsi
Umetaka wa pwani wawe wapole, kwa sababu Ni majadiliano Tu. Nimekujibu sijaweka neno lenye ukali kwenye bandiko langu, pia maana ya majadiliano, Ni neno kwa neno ama hoja kwa hoja, nadhani umenielewa sasa.Sijakuelewa mkuu
Nimekuelewa sasa mkuu , na pia mimi ndio navyoona kuhusu watu wa pwani , ila kama kuna mtu ana ushahidi au facts zozote against this negative attitude anaweza akatoa tu hapa...Umetaka wa pwani wawe wapole, kwa sababu Ni majadiliano Tu. Nimekujibu sijaweka neno lenye ukali kwenye bandiko langu, pia maana ya majadiliano, Ni neno kwa neno ama hoja kwa hoja, nadhani umenielewa sasa.
Labda sijatembea mikoa mingi, ila kwa mikoa michache niyowahi kupita sijaona tofauti ya maisha, kati ya watu pwani na huko bara, kuanzia nyumba zao, chakula chao, usafiri wao, maisha ni yale yale.Nimekuelewa sasa mkuu , na pia mimi ndio navyoona kuhusu watu wa pwani , ila kama kuna mtu ana ushahidi au facts zozote against this negative attitude anaweza akatoa tu hapa...
@kasigazi kalungi kwani baridi ya lushoto inaeffect fulani eh!!
kuna member hapa kasema wapwani tatizo joto sikutaka kumwamini!!
kama naamini sasa!!
Ekusema eti watu wa pwani wanawaza kudinyana tu, wapi Tanzania hii ambako tendo hilo halifanyiki, mbona bado mnazaliana tu hata ukitembea kwenye madanguro Dada zetu wanaojiuza wengi ni wenyeji wa bara.Ni kweli joto linawaathiri pia na ndo upelekea wanawake wakae wamawaza kudinyana kwa kuwa wanashinda hawajavaa nguo
Wahaya ni watu wa pwani??Ekusema eti watu wa pwani wanawaza kudinyana tu, wapi Tanzania hii ambako tendo hilo halifanyiki, mbona bado mnazaliana tu hata ukitembea kwenye madanguro Dada zetu wanaojiuza wengi ni wenyeji wa bara.
Wewe hujanielewa, kuna mtu kaandika hapo juu, kuwa sisi watu wa pwani kwa sababu ya joto, hatuvai nguo kitu kinachochea kidinyana. Akimaanisha tunapenda sana kudinyana, ndipo nikamjibu atembelee kwenye madanguro aone Dada zetu wanaojiuza wengi ni wenyeji wa wapi. Nimetumia neno Dadazetu kwa sababu wengi wanaujiza ni Watanzania wenzetu, na kama si watanzania ni waafrika wenzetu, nadhani utakuwa umenielewa.Wahaya ni watu wa pwani??
Vijana wengi wa Kitanzania hawaijui Historia ya nchi yao.Watu wa Pwani wako vizuri, mazingira yao na yako ndio yanakupa tofauti unayodhani ipo. Kuna toto/jukuu moja la Kighoma Malima limefanya vizuri huko duniani, linaitwa Asanterabi kama sijakosea. Si wameongoza chama tawala mara nyingi zaidi kuliko watu wa Bara, Pwani mara mbili na Mtwara mara moja. Ina maana hata Kingunge hajafanya kitu? Pm wa sasa anatoka bara ya wapi? Kuna Mama mmoja alipambana kudai Uhuru hadi barabara moja hapo Dsm inaitwa kwa jina lake umemsahau kweli? Hivi akina Mtemvu Enzi ya Julius hawakuwa na kitu? Je akina Kibasila ni wa wapi?