Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,489
- 6,883
Mkuu wewe nilikuelewa vema hilo swali ni la huyo mbwigaWewe hujanielewa, kuna mtu kaandika hapo juu, kuwa sisi watu wa pwani kwa sababu ya joto, hatuvai nguo kitu kinachochea kidinyana. Akimaanisha tunapenda sana kudinyana, ndipo nikamjibu atembelee kwenye madanguro aone Dada zetu wanaojiuza wengi ni wenyeji wa wapi. Nimetumia neno Dadazetu kwa sababu wengi wanaujiza ni Watanzania wenzetu, na kama si watanzania ni waafrika wenzetu, nadhani utakuwa umenielewa.