Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,724
Sweetcorn ndio zipoje?Atafute sehemu atapata sweetcorn zilizokomaa achome
Nakwambia atashangaa
Huwa nazifuata Bagamoyo kuna jamaa anachoma pale stand ni very unique
Sweetcorn ndio zipoje?Atafute sehemu atapata sweetcorn zilizokomaa achome
Nakwambia atashangaa
Huwa nazifuata Bagamoyo kuna jamaa anachoma pale stand ni very unique
Ni tofauti na maindi ya kawaida?View attachment 1844001
Haka ni ka next project nakatafutia muda
Hayo machungwa anauzia wapi ili apate hio hela
Biashara zote ni nzuri mpaka pale utapoianzisha sasa ndio odds zake unaziona bila chenga!Biashara ni nzuri ukisimuliwa
Ni tofauti na maindi ya kawaida?
Unayauzia mtaani au?Yaah hata mbegu yake ni expensive kidogo
Wanatumia sana wahindi na wazungu Kwenye mapishi yao
Unayauzia mtaani au?
Hahahha yana sukari nini? Heheh itabidi unielekeze chimbo nikachukue niyatestiYanauziwa mtaani manake bei yake ni sawa tu na haya mengine
Itakusumbua kwa mwanzoni ila mtu akishaonja atachukia yale ya kawaida
Hahahha yana sukari nini? Heheh itabidi unielekeze chimbo nikachukue niyatesti
Unafungua vijiwe vya kuyachomelea au unavuna mashamban na kuyaleta mawasiliano pale? Kuna chimbo la wakulima napo!Mara ya mwisho nimeona yanauzwa Tegeta
Nadhani hata Kisutu yapo
Kwa mimi naingia front naleta mzigo mpaka kwa mtafunaji,
Unafungua vijiwe vya kuyachomelea au unavuna mashamban na kuyaleta mawasiliano pale? Kuna chimbo la wakulima napo!
Wanazingua sana eehNachoma mwenyewe sipeleki pale
Upuuzi wa masoko naufahamu vyema
Wanauza bila kumenya naona watu wanafanya hvyoWeeee
Kulaza faida ya 20,000 inabidi uuze chungwa 400
Siyo kazi ya kitoto
Center mbagala rangi 3Hayo machungwa anauzia wapi ili apate hio hela
Its Easier said than done!Weeee
Kulaza faida ya 20,000 inabidi uuze chungwa 400
Siyo kazi ya kitoto
Aah wapi labda hospitali kama MuhimbiliCenter mbagala rangi 3
Sawa mkuu hatubishaniAah wapi labda hospitali kama Muhimbili
Uuze machungwa 400 wakati mpo msururu wa wauzajiSawa mkuu hatubishani