Point of No Return 19
Senior Member
- Jul 2, 2023
- 194
- 455
Kwa mtaji wa 3mil naweza kupiga business gani hapa Dar es salaam?
Hii 3M sijapewa na mtu. Ni Katika harakati zangu za kutafuta since 2022 hadi leo ndiyo niliweza kuweka Chochote ninachopata, mpaka imefika hiyo.
Mimi nilikua na mawazo ma 2
La kwanza biashara ya mazao.
Na la pili biashara ya miamala ya Simu.
Yaani nifanye moja wapo Kati ya hizo.
Hii 3M sijapewa na mtu. Ni Katika harakati zangu za kutafuta since 2022 hadi leo ndiyo niliweza kuweka Chochote ninachopata, mpaka imefika hiyo.
Mimi nilikua na mawazo ma 2
La kwanza biashara ya mazao.
Na la pili biashara ya miamala ya Simu.
Yaani nifanye moja wapo Kati ya hizo.