Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,116
Ni kweli kuna uzuri wa kujenga mwenyewe hasa nyumba yako ya kuishi sio ya biashara, Lakini kumbuka GHARAMA za kujenga ni almost 2x ya kununua hasa ukivizia wale walio na changamoto za kifedha kama mikopo ya bank, Kununua kunaokoa sana pesa , muda, usumbufu.Huwa nachukia idea ya kununua nyumba iliyojengwa, kwanini usianze yako na ramani yako jinsi unavyopenda,