Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Wasalamu,kwa kuuza daladala zangu mbili sababu ya usumbufu wa kissing garage,plus mkopo nawezapata kama m45 nipo na mawazo kama matano hivi,ushauri muhimu ili nisiangamie maana pesa ikishapotea hairudi unabaki na majuto na maradhi ya moyo tu.
1. Nitafute eneo nijenge frem za kupangisha hapa takula hadi uzeeni shida utapata kodi itakayokusaidia kula na sio kukua haraka kibiashara lkn ni ya uhakika yaani ufi njaa.Mungu akijalia wawezazifungulia biashara zako kadri utakavyo na maisha yakaenda.
2. Ninunue trekta mpya zero kilometer katu sitonunua chombo cha moto used nchini tena kwa hasara nilizopata za kushinda garage kuliko kushinda barabarani.Trekta ni tegemeo ni johndeer,Massey,case,deutz ukitanguliza 45 anakupa inayobaki na riba ndani ya mwaka kwa mnyama deer miaka miwili yaani,zinauzwa kati ya 55m hadi 65m plus jembe.Niingie pori nikachane mbuga nalimia watu nami nalima yangu mazao tegemeo ni karanga,alizeti,mtama,mhogo,viazi,mahindi,mpunga nategemea kulima ekari 500 kwenda juu mashine Yangu nguvu yangu nasimamia mwenyewe iwe jua au mvua ni kula mbuga tu.
3. Nimpe muhindi 45m anipe tata marcopolo ya mkopo zero kilometa nikae mlangoni nipige ndefu sio daladala yaani ruti za nje ya mji nauli isiyo chini ya elf 15 yaani kupakia kwa foleni mfano moro ifakara,mbagala kusini,kambi popote.
4. Niagize fuso mnyama au scania kipisi nikae mwenyewe naenda shamba kununua mizigo mixer mfano viazi chips,ndizi,miwa,nyanya,vitunguu,ngombe,mbuzi,nk chochote kiuzwacho sokoni nakujauza bei ya jumla narudi shamba tena kwa kusomba mizigo ya duka kurudi shamba.
5. Nifungue kiwanda cha kusaga chupa na mifuko ya plastic kisha nauza viwandani.
6. Ninunue shamba nipande miti niendelee na umasikini wangu nisubirie miaka 10 hadi 15 niwe milionea baada ya kuvuna miti.
Naombeni idea kwa kuangalia risk,faida,mda,usalama wa fedha,uhakika wa kuishi, stress,nk
1. Nitafute eneo nijenge frem za kupangisha hapa takula hadi uzeeni shida utapata kodi itakayokusaidia kula na sio kukua haraka kibiashara lkn ni ya uhakika yaani ufi njaa.Mungu akijalia wawezazifungulia biashara zako kadri utakavyo na maisha yakaenda.
2. Ninunue trekta mpya zero kilometer katu sitonunua chombo cha moto used nchini tena kwa hasara nilizopata za kushinda garage kuliko kushinda barabarani.Trekta ni tegemeo ni johndeer,Massey,case,deutz ukitanguliza 45 anakupa inayobaki na riba ndani ya mwaka kwa mnyama deer miaka miwili yaani,zinauzwa kati ya 55m hadi 65m plus jembe.Niingie pori nikachane mbuga nalimia watu nami nalima yangu mazao tegemeo ni karanga,alizeti,mtama,mhogo,viazi,mahindi,mpunga nategemea kulima ekari 500 kwenda juu mashine Yangu nguvu yangu nasimamia mwenyewe iwe jua au mvua ni kula mbuga tu.
3. Nimpe muhindi 45m anipe tata marcopolo ya mkopo zero kilometa nikae mlangoni nipige ndefu sio daladala yaani ruti za nje ya mji nauli isiyo chini ya elf 15 yaani kupakia kwa foleni mfano moro ifakara,mbagala kusini,kambi popote.
4. Niagize fuso mnyama au scania kipisi nikae mwenyewe naenda shamba kununua mizigo mixer mfano viazi chips,ndizi,miwa,nyanya,vitunguu,ngombe,mbuzi,nk chochote kiuzwacho sokoni nakujauza bei ya jumla narudi shamba tena kwa kusomba mizigo ya duka kurudi shamba.
5. Nifungue kiwanda cha kusaga chupa na mifuko ya plastic kisha nauza viwandani.
6. Ninunue shamba nipande miti niendelee na umasikini wangu nisubirie miaka 10 hadi 15 niwe milionea baada ya kuvuna miti.
Naombeni idea kwa kuangalia risk,faida,mda,usalama wa fedha,uhakika wa kuishi, stress,nk