Nina milioni 20 nataka kujenga nyumba ya vyumba 3 Dar es Salaam. Naweza fikia hatua gani?

Sisi kuna sehemu tulimpa ramani ya ujenz wa kanisa, mafund wote waliotangulia kuanzia vifaa mpaka ujenz ni zaidi ya 30ml, hiyo ilkuwa kusimamisha nguzo 30 za jengi n.k

Kutoka kwake yeye, mambo yafuatayo akaanza kutueleza.

1. Raman inasema kila nguzo ni nondo 6 za 16mm, ila yeye ametuambia kwa ghorofa moja tu inayobeba watu 50 mpaka 70 na wingi wa nguzo, kila nguzo nondo 4 za 16mm zinatosha sana.

2. Mainjinia wanaweka mambo mengi ktk raman ili kusaidia kupatikana kwa kibali cha ujenzi.

3. Mafundi walipendekeza zile kokoto nyeusi, ila yeye akatuambia tutafute zile kokoto ambazo ni jiwe, na kweli tulizipata uko mbutu kwa 700k kipind kile, ile Mende Scania.

Mambo ni mengi sana, sio rahisi kuyaandika yote kupitia siimu.
Mkuu usisahau kuwa uthibiti wa uimara ni muhimu sana kwa majengo ya watu wengi kama kanisa na hasa ghorofa, hatuombei mabaya kwa kanisa, laknini kwa jengo la ghorofa kufuata maelekezo ni muhimu sana
 
utafunga renta - baada ya rinta utahitaji tena kama 20m nyingine kufunika - baada ya hapo ndipo utapambana na milango, vyoo na fittings zingine ambapo utahitaji tena 20m nyininge...

kifupi anza ila ujue una deni la 40m kama unahitaji kujenga nyumba na si banda.
Anafunga mpaka paa, grill, umeme, mabomba plastering gypsum na tiles za bei rahisi.
 
Suala kubwa kwenye ujenzi ni KIWANJA AU UWANJA, ukiwa nacho, ujenzi unafanya kwa time na pace yako! Unaweza kuinua boma, ukaweka bati na kuweka milango strategic, basi unaingia na maendeleo mengine ni mumo kwa mumo. Unakuta mtu amepanga vyumba viwili, lakini BAFU NA CHOO ni vya umma, mtu huyo huyo si ajabu ana kiwanja anashindwa au hataki kujenga hivyo vyumba viwili na BAFU NA CHOO yake nzuri na KUHAMIA! Nashangaa sana, kulikoni!?
 
utafunga renta - baada ya rinta utahitaji tena kama 20m nyingine kufunika - baada ya hapo ndipo utapambana na milango, vyoo na fittings zingine ambapo utahitaji tena 20m nyininge...

kifupi anza ila ujue una deni la 40m kama unahitaji kujenga nyumba na si banda.
Kwa kazi uliyowahi kupewa ya kusimamia ujenzi wa nyumba ya mtu .Utakuwa ulipigwa sana , mpaka leo haujajua. Kwa maelezo yako inaonyesha wajanja walipita na wewe. Mtu mwenye 20m na anauhitaji wa nyumba ya kuishi, vyumba 3 vya kulala. Hawezi ishia hapo unaposema. Maana hiyo nyumba ni lazima ujue itahitaji blocks na bati kiasi gani? Kinachobaki ndiyo utajua utaweka vitu vya thamani gani.
 
Vijana MNA mbwembwe kama mmejenga maudhui kaka hapo juu ya kujenga nyumba ya 20M imefahamika ila tu watu kujitia ujuaji tu , tuanze hapa
1.msingi Tofari 3000
2. Kuta tofari. 8000 na kwa cement msingi tu mifuko 15 ukuta tope
3.rentersmifuko 15 na roller 9 za nondo 14mm kuzunguka nyumba yote na kumalizia kozi kadhaa pale juu iwe Futi 12 hivi
4.mbao za kawaida atapaka oili chafu mwenyewe Kench..200....na papi....150. Koa na bangil zake ,misumari ya kench nch 5 , na nch 4 then ya bati........
5.BATI LA kwaida LA 16000 gauge 30 ft 10 kadhaaa na na futi 8 na kofia sake
6. Dril za nadirisha jumla madirisha ma 5 ya futi 5x4 kadirio kama 70,000-110,000
7. Milango 2 top na drill zake kila moja @ 230,000
Milango ya vyumbani 4@ 180,000
8. Plasta chumba kimoja mifuko 8 saruji@15,000 Mara 4 ongeza sebure choo na jiko 18 saruji
9.gypsum au chokaa ukutani bei rahisi chokaa mifuko 20 nyumba yote bei @ 6000---10000/=
10. Chapia msingi mifuko 10 saruji
11. Fundi to a mkoani wa 1M kujenga kupaua 700,000, plasta 700,000/
12.choo shimo kuchimba 300,000 tafuta vijana wa mkoani watachimba ft 30 kwa dar kichanga tu hicho
13. Jengea na kufunika 700000
13/mifuko ya majitaka choo na jikon n.k
1000,000/
*Brother unaweza tu ila unite nikusimamie mwenyewe nimejenga ila block nilifyatua mwenyewe, mbao nilinunua kijijini mbeya kecnhi moja @3000 papi@1500 nikasafirisha niliokoa kiasi kibwa saana fundi ujenzi nilimtoa huko huko naishi kama nna hela kumbe bans bajeti wasikutishe *


Pia msipende kujibu maswali kiurahisi ili uonekane wewe ni mtu wa maana kwa sababu unampa mtu moyo.
Sometimes mtu inatakiwa aondolewe kutoka fikra fulani kabla ya kuanza project yake.
Kwa mfano, mleta mada ni vizuri akishauriwa kuwa nyumba vyumba vitatu haielezi nini unachohitaji.
Angeleta ramani, au akaelezea size ya vyumba etc...
La sivyo tutakuwa tunajibishana tu, unaweza, huwezi, unaweza, huwezi ... kwa siku kumi. No description.
 
Vijana MNA mbwembwe kama mmejenga maudhui kaka hapo juu ya kujenga nyumba ya 20M imefahamika ila tu watu kujitia ujuaji tu , tuanze hapa
1.msingi Tofari 3000
2. Kuta tofari. 8000 na kwa cement msingi tu mifuko 15 ukuta tope
3.rentersmifuko 15 na roller 9 za nondo 14mm kuzunguka nyumba yote na kumalizia kozi kadhaa pale juu iwe Futi 12 hivi
4.mbao za kawaida atapaka oili chafu mwenyewe Kench..200....na papi....150. Koa na bangil zake ,misumari ya kench nch 5 , na nch 4 then ya bati........
5.BATI LA kwaida LA 16000 gauge 30 ft 10 kadhaaa na na futi 8 na kofia sake
6. Dril za nadirisha jumla madirisha ma 5 ya futi 5x4 kadirio kama 70,000-110,000
7. Milango 2 top na drill zake kila moja @ 230,000
Milango ya vyumbani 4@ 180,000
8. Plasta chumba kimoja mifuko 8 saruji@15,000 Mara 4 ongeza sebure choo na jiko 18 saruji
9.gypsum au chokaa ukutani bei rahisi chokaa mifuko 20 nyumba yote bei @ 6000---10000/=
10. Chapia msingi mifuko 10 saruji
11. Fundi to a mkoani wa 1M kujenga kupaua 700,000, plasta 700,000/
12.choo shimo kuchimba 300,000 tafuta vijana wa mkoani watachimba ft 30 kwa dar kichanga tu hicho
13. Jengea na kufunika 700000
13/mifuko ya majitaka choo na jikon n.k
1000,000/
*Brother unaweza tu ila unite nikusimamie mwenyewe nimejenga ila block nilifyatua mwenyewe, mbao nilinunua kijijini mbeya kecnhi moja @3000 papi@1500 nikasafirisha niliokoa kiasi kibwa saana fundi ujenzi nilimtoa huko huko naishi kama nna hela kumbe bans bajeti wasikutishe *
Not true.
 
Habari wadau! Naomba kuuliza ukiwa na TZS 20 Milioni na unataka kujenga nyumba ya Vyumba 3 na Master unaweza kuanza na kufika hatua Gani?

Ntashukuru kama mtanipa estimate za kila hatua

Asantee
Hiyo mbona unapata nyumba ya room tano ya kufanyia finishing ndogo tuu.. Maana shughuli ya ujenzi nayo si mchezo
 
Vijana MNA mbwembwe kama mmejenga maudhui kaka hapo juu ya kujenga nyumba ya 20M imefahamika ila tu watu kujitia ujuaji tu , tuanze hapa
1.msingi Tofari 3000
2. Kuta tofari. 8000 na kwa cement msingi tu mifuko 15 ukuta tope
3.rentersmifuko 15 na roller 9 za nondo 14mm kuzunguka nyumba yote na kumalizia kozi kadhaa pale juu iwe Futi 12 hivi
4.mbao za kawaida atapaka oili chafu mwenyewe Kench..200....na papi....150. Koa na bangil zake ,misumari ya kench nch 5 , na nch 4 then ya bati........
5.BATI LA kwaida LA 16000 gauge 30 ft 10 kadhaaa na na futi 8 na kofia sake
6. Dril za nadirisha jumla madirisha ma 5 ya futi 5x4 kadirio kama 70,000-110,000
7. Milango 2 top na drill zake kila moja @ 230,000
Milango ya vyumbani 4@ 180,000
8. Plasta chumba kimoja mifuko 8 saruji@15,000 Mara 4 ongeza sebure choo na jiko 18 saruji
9.gypsum au chokaa ukutani bei rahisi chokaa mifuko 20 nyumba yote bei @ 6000---10000/=
10. Chapia msingi mifuko 10 saruji
11. Fundi to a mkoani wa 1M kujenga kupaua 700,000, plasta 700,000/
12.choo shimo kuchimba 300,000 tafuta vijana wa mkoani watachimba ft 30 kwa dar kichanga tu hicho
13. Jengea na kufunika 700000
13/mifuko ya majitaka choo na jikon n.k
1000,000/
*Brother unaweza tu ila unite nikusimamie mwenyewe nimejenga ila block nilifyatua mwenyewe, mbao nilinunua kijijini mbeya kecnhi moja @3000 papi@1500 nikasafirisha niliokoa kiasi kibwa saana fundi ujenzi nilimtoa huko huko naishi kama nna hela kumbe bans bajeti wasikutishe *
Wanyaki kwa kutia moyo mko vzr! Sasa matofali ya kuchoma anatoa wapi kwa dar?. Huu uzi ntaufuatilia hadi mwisho nione namna milioni 20 inavyoweza kujenga nyumba ya vyumba 3 na master inclusive
 
Wanyaki kwa kutia moyo mko vzr! Sasa matofali ya kuchoma anatoa wapi kwa dar?. Huu uzi ntaufuatilia hadi mwisho nione namna milioni 20 inavyoweza kujenga nyumba ya vyumba 3 na master inclusive
Mkuu tunahitaji definition ya nyumba ni kitu gani. Maana siku hizi naona utani umezidi kwenye hili jukwa letu pendwa la ujenzi.... Eti nyumba tatu kwa Million 20? ..Masanja nahitaji kurudi shule.
 
Naomba nitoke nje ya mada kidogo kwa kuuliza swali hili.. Unapoishi kwa kupanga unatumia kiasi gani kulipa kodi mwaka mzima ? Kuna jambo nataka nikufungue macho na hutawaza kujenga anytime soon kwa hela za mfukoni kwako.
 
Mbona nyingi Sana hioo

Hio unaweza simamisha boma tu .

Ila inategemea na ukubwa wa nyumba
 
Naomba nitoke nje ya mada kidogo kwa kuuliza swali hili.. Unapoishi kwa kupanga unatumia kiasi gani kulipa kodi mwaka mzima ? Kuna jambo nataka nikufungue macho na hutawaza kujenga anytime soon kwa hela za mfukoni kwako.
Ninapokaa now nalipa 3.6Mn pa
 
Back
Top Bottom