Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,805
- 3,087
Ni sahihi kabisa, milioni 20 inaweza ikaishia kwenye boma tu bila kuezeka kutegemea na factor mbalimbali, mfano nyumba utaweka beam kwenye msingi? Utaweka NONDO ngapi kwenye hiyo beam? Unataka msingi unyanyuke au nyumba iwe kama imekaa ardhini? Ukubwa wa vyumba ukoje? Strength ya linta yako iweje? Hizo zote ni factor katika ujenzi, nyumba A na B zinaweza tumia ramani moja lakini kabla ya finishing nyumba A ikatumia mara mbili ya gharama zilizotumika katika nyumba B. Baada ya finishing nyumba hizo mbili zinaweza kutofautiana gharama hadi mara tano. Factor kubwa ni uimara na ubora wa vitu vitakavyotumikaPia msipende kujibu maswali kiurahisi ili uonekane wewe ni mtu wa maana kwa sababu unampa mtu moyo.
Sometimes mtu inatakiwa aondolewe kutoka fikra fulani kabla ya kuanza project yake.
Kwa mfano, mleta mada ni vizuri akishauriwa kuwa nyumba vyumba vitatu haielezi nini unachohitaji.
Angeleta ramani, au akaelezea size ya vyumba etc...
La sivyo tutakuwa tunajibishana tu, unaweza, huwezi, unaweza, huwezi ... kwa siku kumi. No description.