t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 6,252
- 14,386
Wengi wetu tumehamia katika hali hiyo, ukisubiri iishe kabisa ndo uingie , ni habari nyingine .Haiwezi kutosha ndio ila anaweza ingia finishing ikaishia ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wetu tumehamia katika hali hiyo, ukisubiri iishe kabisa ndo uingie , ni habari nyingine .Haiwezi kutosha ndio ila anaweza ingia finishing ikaishia ndani
Shukran saana MkuuMkuu 20m ni kubwa,hapo unajenga na finishing unafanya freshi kabisa,yani unaingia imekamilika kabisa.
Kwa nyumba ya kawaida ,yani ukubwa wa kawaida
1.Tofali ni 3000 (inaweza ongezeka lkn kidogo sana) ukikadiria
- gharama 3m kama utanunua ila ukifyatua gharama itapungua
2.bati ni 100 (inaweza ongezeka au kupungua lkn sio sana)
-gharama inacheza 2m-2.4 hapa ni msouth maana zinauzwa ef24 reja reja lkn fata kiwandani jumla inapungua
3.mbao za kupaua hazizid 150
-Gharama kadiria 2m
4.fundi wajenge kwa tofali gharama inapungua,
-Gharama weka 1.2 m hapo ya fundi
Hivyo ndio vitu vya msingi katika ujenzi huu wa kawaida wa kina sio life la hapa na pale
Mambo ya madirisha na milango huo ni uchaguzi sasa ila tofal ,mbao na fundi lazima
yupo generally sana.nyumba ina finishibg ndio hufanya agaharama kuwa kubwa.ukaianza ukaweka linta ya chin nondo nne na dmp mpka kupanda tayar mil 6.ukifubga lenta ya juu kupaua alaf inakula mil 8 jumla mil 16. ukataka kuweka zile raedy made door steel za waisrael mlango mmoj huo huhitaj greel mil 7 mlango mmoja.Hatua utakayofikia inategemea na aina ya nyumba unayoitaka.
3 bedrooms ni too general. Kuna 2 bedroom houses zipo expensive kuliko 6 bedroom houses.
Yaani swali ni too general.
Ndiyo unaweza au niseme inawezekana kabisa, ila tujulishe kama una kiwanja then tuje tukueleze. Na kama una kiwanja, kiko wapi hapa DAR?Habari wadau! Naomba kuuliza ukiwa na TZS 20 Milioni na unataka kujenga nyumba ya Vyumba 3 na Master unaweza kuanza na kufika hatua Gani?
Ntashukuru kama mtanipa estimate za kila hatua
Asantee
Makadirio hayo yana kwenda nadhanio (assumption) KUWA UNA KIWANJA! Ndiyo maana ya mimi kukuuliza una kiwanja na kama unacho kiko wapi hapa Dar!?Shukran saana Mkuu
@Kobello kujifanya Kobe Bryan, in maana ni kweli kuwa hujang'amua mshikaji anataka nyumba ya namna gani kweli?Hatua utakayofikia inategemea na aina ya nyumba unayoitaka.
3 bedrooms ni too general. Kuna 2 bedroom houses zipo expensive kuliko 6 bedroom houses.
Yaani swali ni too general.
yupo generally sana.nyumba ina finishibg ndio hufanya agaharama kuwa kubwa.ukaianza ukaweka linta ya chin nondo nne na dmp mpka kupanda tayar mil 6.ukifubga lenta ya juu kupaua alaf inakula mil 8 jumla mil 16. ukataka kuweka zile raedy made door steel za waisrael mlango mmoj huo huhitaj greel mil 7 mlango mmoja.
kwa hi nyunba ni finishing
Wewe uling'amua kabla hajafunguka zaidi?@Kobello kujifanya Kobe Bryan, in maana ni kweli kuwa hujang'amua mshikaji anataka nyumba ya namna gani kweli?
Ni kweli na mimi juzi nimeona vitasa au padlocks za kuanzia shilingi laki nne hadi milioni moja! Zipo hapo Jamhuri Street, Dar-es-Salaam!Kuna watu mnachekesha humu....mlango wa 7m ni wakuzungumzia kwa watu waliodunduliza 20m? Acheni mambo ya ajabu watu tumeona Hadi water tap 10m lakini huwezi kuzungumzia kwenye nyuzi kama hizi.
Kama una uwanja, unamaliza nyumba yako unahamia saa sita kamili.
Siku hizi tofali za kuchoma ni gharama kuliko za cement..Dar hamna matofali ya kuchoma, nakukumbusha tu, ujipange
Mkuu naomba mawasiliano ya huyo FundiNna fund ana bei za kawaida mno, labda nikupatie mawasiliano yake, yeye atakupa ushaur mzuri.
Mafund wa kisasa watakwambia mpaka kokoto ununue zile nyeusi wakat kokoto jiwe zipo kibao kigamboni, mara cement mifuko kibaoo, mafundi wenye uzoefu ni wazuri mno.
Kama una kiwanja tayari unaweza imaliza ila finishing haitakamilika kila kitu ila itakalikaHabari wadau! Naomba kuuliza ukiwa na TZS 20 Milioni na unataka kujenga nyumba ya Vyumba 3 na Master unaweza kuanza na kufika hatua Gani?
Ntashukuru kama mtanipa estimate za kila hatua
Asantee
Si kweli.Siku hizi tofali za kuchoma ni gharama kuliko za cement..
utafunga renta - baada ya rinta utahitaji tena kama 20m nyingine kufunika - baada ya hapo ndipo utapambana na milango, vyoo na fittings zingine ambapo utahitaji tena 20m nyininge...Habari wadau! Naomba kuuliza ukiwa na TZS 20 Milioni na unataka kujenga nyumba ya Vyumba 3 na Master unaweza kuanza na kufika hatua Gani?
Ntashukuru kama mtanipa estimate za kila hatua
Asantee