Squubby2019
Member
- May 21, 2019
- 22
- 14
Habari wadau! Naomba kuuliza ukiwa na TZS 20 Milioni na unataka kujenga nyumba ya Vyumba 3 na Master unaweza kuanza na kufika hatua Gani?
Ntashukuru kama mtanipa estimate za kila hatua
Asantee
Ntashukuru kama mtanipa estimate za kila hatua
Asantee