Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,128
- 1,842
Ramani ya hivyo vyumba vi3 ikoje? Ni muundo wa moja kwa moja (darasa?) Au L?
Kama ni darasa gharama zitapungua kidogo,kama ni ramani ya L gharama itazidi kidogo (haswa kwenye upauaji)
Ukubwa wa hivyo vyumba ukoje? Ukubwa wa vyumba uta_determine idadi ya tofali utakazozitumia kwenye ujenzi. Kwa uzoefu na kimakadirio haijalishi ukubwa wa hivyo vyumba kwa vyumba vi3 na hiyo master unayoitaka,complete kuanzia msingi mpaka level ya kuezeka andaa tofali 3000,shimo la choo andaa tofali 450 appr shimo liwe ft 12ur*8 mzunguko..tofali jumla itasoma 3450
Jitahidi ku_survey maduka tofauti ya ujenzi ili upunguze gharama za manunuzi ya vifaa,maduka ya Dar yana utofauti wa bei,ila uwe makini,utofauti ukiwa mkubwa sana hiyo bidhaa inaweza kua ni copy,so ukauziwa copy kwa bei ya original
Mafundi pia wana bei za kuropoka,jitahidi kupata mwenye nafuu na mzoefu wa kazi.
Kimsingi pesa yako inatosha ila sio mpaka finishing,kama huna haraka na kuhamia unahamia mengine mbele kwa mbele,ujenzi huwa hauishi utaimalizia polepole..
Kama ni darasa gharama zitapungua kidogo,kama ni ramani ya L gharama itazidi kidogo (haswa kwenye upauaji)
Ukubwa wa hivyo vyumba ukoje? Ukubwa wa vyumba uta_determine idadi ya tofali utakazozitumia kwenye ujenzi. Kwa uzoefu na kimakadirio haijalishi ukubwa wa hivyo vyumba kwa vyumba vi3 na hiyo master unayoitaka,complete kuanzia msingi mpaka level ya kuezeka andaa tofali 3000,shimo la choo andaa tofali 450 appr shimo liwe ft 12ur*8 mzunguko..tofali jumla itasoma 3450
Jitahidi ku_survey maduka tofauti ya ujenzi ili upunguze gharama za manunuzi ya vifaa,maduka ya Dar yana utofauti wa bei,ila uwe makini,utofauti ukiwa mkubwa sana hiyo bidhaa inaweza kua ni copy,so ukauziwa copy kwa bei ya original
Mafundi pia wana bei za kuropoka,jitahidi kupata mwenye nafuu na mzoefu wa kazi.
Kimsingi pesa yako inatosha ila sio mpaka finishing,kama huna haraka na kuhamia unahamia mengine mbele kwa mbele,ujenzi huwa hauishi utaimalizia polepole..