KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,706
- 4,428
Hv mnamuelewa huyu kweli au ni mimi tu?.?
Jinsia yake mwenyewe kajibu me/ke utamuelewa vipHv mnamuelewa huyu kweli au ni mimi tu?.?
ufafanuzi pleaseIlishanitokea kimasihara nikamega/nikamegwa.
Miaka 600 ni ya kufikirika tu. Kwa miaka60 sawa.Usikate tamaa, umri wako bado unaruhusu sana. Noah (Nuhu) alipata safina akiwa na umri wa miaka 600.
hilo ni pepoWakuu wangu habari zenu.
Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari.
Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni, tatizo ni woga kuingia road.
Woga mwingine ni mahuruma. Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu njian sidhan kama naweza mpita, lazima nimbebe/nitampalift, tatizo linakuja nitaangalia na magonjwa.
Wakuu mnaelewa ukiwa kwenye usafiri ni rahisi sana kumegwa au kumega.
Ilishanitokea kimasihara nikamega/nikamegwa.
Sipendi ama uwe me au ke mwanaume au mwanamke utamegeka tu usafiri binafsi inasiri hii.
Usafiri kwangu ni priority kwa kweli
Ili awajaze vizuri.... ha ha haNunua Mitsubishi Fuso hutojuta
Labda ni dabo ajent anamega na kumegwaUshawahi kumegwa? Kwani wewe jinsia gani
Naomba kujua jisnisa yako.Wakuu wangu habari zenu.
Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari.
Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni, tatizo ni woga kuingia road.
Woga mwingine ni mahuruma. Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu njian sidhan kama naweza mpita, lazima nimbebe/nitampalift, tatizo linakuja nitaangalia na magonjwa.
Wakuu mnaelewa ukiwa kwenye usafiri ni rahisi sana kumegwa au kumega.
Ilishanitokea kimasihara nikamega/nikamegwa.
Sipendi ama uwe me au ke mwanaume au mwanamke utamegeka tu usafiri binafsi inasiri hii.
Usafiri kwangu ni priority kwa kweli
Shemale sio?Me//Ke
Wakuu wangu habari zenu.
Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari.
Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni, tatizo ni woga kuingia road.
Woga mwingine ni mahuruma. Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu njian sidhan kama naweza mpita, lazima nimbebe/nitampalift, tatizo linakuja nitaangalia na magonjwa.
Wakuu mnaelewa ukiwa kwenye usafiri ni rahisi sana kumegwa au kumega.
Ilishanitokea kimasihara nikamega/nikamegwa.
Sipendi ama uwe me au ke mwanaume au mwanamke utamegeka tu usafiri binafsi inasiri hii.
Usafiri kwangu ni priority kwa kweli
Kwa uandishi huu ni me huyoUshawahi kumegwa? Kwani wewe jinsia gani
Kwetu alishahama atakuwa kwenuKwa uandishi huu ni me huyo