Nina miaka 30 bado bikira, naomba ushauri

Nina miaka 30 bado bikira, naomba ushauri

Wana jf,niliwahi kuwa na gf kwa miaka 3 muda wote huu tulikuwa tuna date tu na hatukufanya ngono,lakini aliniacha bila maelezo, wa pili nae sikutaka kumpa moyo wangu wote kwanza lakini wakati najiandaa kuwa immersed in love akanikimbia bila sababu,sasa nina miaka 30 bado sijawahi ku du hata mara moja,kama fedha za kujikimu nianazo,proffessionaly ni wakili wa kujitegemea,na ka u handsome kapo,sasa sijui tatizo langu ni nini.

Naomba ushauri ili nisije pata tena nikakimbiwa...

helooo learned brother duh iyo bikra ya kiume elezea kwa kirefuu maana sie kila siku tunatuhumia kuwa hatuna bikra sasa iweje wew mwanaume uwe nayo?? Kumbe kuna bikra za kiume???

Cc mh asprin
 
hizi thread za miaka 4 iliyopita mnaziibua za nini?
 
helooo learned brother duh iyo bikra ya kiume elezea kwa kirefuu maana sie kila siku tunatuhumia kuwa hatuna bikra sasa iweje wew mwanaume uwe nayo?? Kumbe kuna bikra za kiume???

Cc mh asprin

Bikra ya kiume ni pale mtu anaposhindwa kuachia ushuzi wa kimyakimya. ushuzi wake lazima utoe mlio wa nyau aliyebanwa mkia na mlango.
 
Wana jf,niliwahi kuwa na gf kwa miaka 3 muda wote huu tulikuwa tuna date tu na hatukufanya ngono,lakini aliniacha bila maelezo, wa pili nae sikutaka kumpa moyo wangu wote kwanza lakini wakati najiandaa kuwa immersed in love akanikimbia bila sababu,sasa nina miaka 30 bado sijawahi ku du hata mara moja,kama fedha za kujikimu nianazo,proffessionaly ni wakili wa kujitegemea,na ka u handsome kapo,sasa sijui tatizo langu ni nini.

Naomba ushauri ili nisije pata tena nikakimbiwa...

Mwanaume hawi bikira mpambaaaafu! Other wise unatafuta bwana, hizo sera nenda London!
 
hahahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaa babu umenichekesha hapa ofisini mpaka wenzangu wananiuliza unachekea nini aiseeee
Bikra ya kiume ni pale mtu anaposhindwa kuachia ushuzi wa kimyakimya. ushuzi wake lazima utoe mlio wa nyau aliyebanwa mkia na mlango.
 
Hao wanawake walikukimbia sababu ya msimamo wako, kama unakaa nae miaka mitatu bila ku do wala kujitambulisha kwao unategemea nini? Sasa umri wa kuoa umeshafika, tafuta mchumba muoane mkajifunzie humo ndoani, wala sio ugonjwa

Nafikiri hilo ndo jibu sahihi.
 
Sheriff,kwa kauli,utanashati,usafi na attitude ki ukweli najitahidi sana ku observe kwa mtu yeyote hata stranger,hawa wote lakini walirudi kwa vipindi tofauti na kuomba msamaha,lakini si unajua maumivu ya kuletewa makombo??????????na mimi nkasusa.

Sasa huenda utakaoa ndo makombo zaidi. We kuwa bikira haina maana kwamba wengine wanasimamisha mambo yao. Bora uchukue uamuzi maana makombo utakula tu.
 
Wewe utakuwa unatoka katika makabila ambayo mwanamke anapoolewa anaangaliwa kama bikira hakuna kwa maana ya kutolewa kwa ngono basi ndoa inakuwa kwenye hatari.Mara nyingi wasichana kwa kutambua hilo utoa toa tigo na kutunza bikira.Lakini sijui sababu zako ww kama ww.
 
Inawezekana una tabia za kishoga shoga kiasi kwamba wasichana wanakuona kama msichana mwenzao.
Hata hii post yako umeiandika kike kike kike, hata title ni hivyo hivyo, imenibidi niisome mara mbili ili kujiridhisha kama huu mwandiko ni wa kike au kiume. Jaribu kujichunguza.
 
Back
Top Bottom