Nina miaka 30 bado bikira, naomba ushauri

Nina miaka 30 bado bikira, naomba ushauri

Wana jf,niliwahi kuwa na gf kwa miaka 3 muda wote huu tulikuwa tuna date tu na hatukufanya ngono,lakini aliniacha bila maelezo, wa pili nae sikutaka kumpa moyo wangu wote kwanza lakini wakati najiandaa kuwa immersed in love akanikimbia bila sababu,sasa nina miaka 30 bado sijawahi ku du hata mara moja,kama fedha za kujikimu nianazo,proffessionaly ni wakili wa kujitegemea,na ka u handsome kapo,sasa sijui tatizo langu ni nini.

Naomba ushauri ili nisije pata tena nikakimbiwa...

Umeishia na wazazi wote? Baba na Mama?
 
Hata kuhonga hujawahi! Siku hizi hata ukiwa hujui kutongoza easy,we mwenzetu Jaribu kuangalia Jogoo lako vizuri...
 
Back
Top Bottom