Mkuu weka mambo yako poa alafu oa kabisa tena itakuwa vizuri mtu wako kukukuta ukiwa fresh na atakuwa anakuheshimu tena sana.
Hakuna ulazima wa ku do maishani...wala huna mapungufu songa mbele kusukuma maendeleo ya taifa letu..si lazima ku do
ukiamua ndio uoe.
ngoja zirudi nyuma hizo....utakuwa unainama bila kuinamishwa
Yani we unamaliza mambo ndotoni?!Ngoja siku mrembo akushinde!!Tafuta mke ili usizini na kabla bikra haijaexpire!
Maisha tu ya best before date sembuse hiyo kitu???Huwa zina expire eeeehhhhhhhhhhhhhh
Wana jf,niliwahi kuwa na gf kwa miaka 3 muda wote huu tulikuwa tuna date tu na hatukufanya ngono,lakini aliniacha bila maelezo, wa pili nae sikutaka kumpa moyo wangu wote kwanza lakini wakati najiandaa kuwa immersed in love akanikimbia bila sababu,sasa nina miaka 30 bado sijawahi ku du hata mara moja,kama fedha za kujikimu nianazo,proffessionaly ni wakili wa kujitegemea,na ka u handsome kapo,sasa sijui tatizo langu ni nini..............naomba ushauri ili nisije pata tena nikakimbiwa...
Wana jf,niliwahi kuwa na gf kwa miaka 3 muda wote huu tulikuwa tuna date tu na hatukufanya ngono,lakini aliniacha bila maelezo, wa pili nae sikutaka kumpa moyo wangu wote kwanza lakini wakati najiandaa kuwa immersed in love akanikimbia bila sababu,sasa nina miaka 30 bado sijawahi ku du hata mara moja,kama fedha za kujikimu nianazo,proffessionaly ni wakili wa kujitegemea,na ka u handsome kapo,sasa sijui tatizo langu ni nini..............naomba ushauri ili nisije pata tena nikakimbiwa...
hahahhaha khabar ndo hiyo maguShosti nani kakufundisha kusema hivyo?
Maisha tu ya best before date sembuse hiyo kitu???
Umemsikia Lizzy kasema eti zinaexpire...sasa zetu si zitakuwa used sana mpaka hazifai eeehhh....hizi za jamaa ziko brand new...duh zitakuwa nzito ka asali....hahahhaha khabar ndo hiyo magu
aaaaaaaaiiiiiiiiiiii umeahirisha darasa???? wooooote wanaongopa humu njooo uchukue darasa... teh teh teh!!!
hahahahhhahah kwa hiyo tumpe pole atakaekuwa na bahati mbaya siku hiyo....akipimwa atakutwa kaongezeka kiaina kumbe....Umemsikia Lizzy kasema eti zinaexpire...sasa zetu si zitakuwa used sana mpaka hazifai eeehhh....hizi za jamaa ziko brand new...duh zitakuwa nzito ka asali....
hahahahhhahah kwa hiyo tumpe pole atakaekuwa na bahati mbaya siku hiyo....akipimwa atakutwa kaongezeka kiaina kumbe....
Masterbation hujawai tumia?Wana jf,niliwahi kuwa na gf kwa miaka 3 muda wote huu tulikuwa tuna date tu na hatukufanya ngono,lakini aliniacha bila maelezo, wa pili nae sikutaka kumpa moyo wangu wote kwanza lakini wakati najiandaa kuwa immersed in love akanikimbia bila sababu,sasa nina miaka 30 bado sijawahi ku du hata mara moja,kama fedha za kujikimu nianazo,proffessionaly ni wakili wa kujitegemea,na ka u handsome kapo,sasa sijui tatizo langu ni nini..............naomba ushauri ili nisije pata tena nikakimbiwa...
Mwongo wewe! Wacha kumtega. Ila nahisi hata mtoa hoja anadanganya.Mke mi hapa, hata mi cjawah guswa.