Habari za jioni wakuu
Straight to the topic ni kwamba naapa sikuwahi kumsikiliza kabla rais huyu maishani mwangu ila hamad! nimemsikiliza jioni hii akifanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC Swahili yaani wakati ninamsikiliza akili yangu inakataa kuwa huyu rais wa DRC kuwa ni mkongomani bali ni mtanzania mwenzetu
Ninao uwezo wa kumtambua mswahili asie Raia wa nchi yetu yaani Mkenya au Mrundi au Mnyarwanda kwa kuongea kwake kiswahili (Lafudhi yake inanihabarisha)
Ninaconclude kwa kusema huyu Joseph Kabila ni mtanzania pure na wanaonibishia angalieni mahojiano haya hapa chini
hiyo ndo maana halisi ya maishaKutoka TMK mpaka kuwa mkuu wa nchi nyingine tofauti na Tanzania Loool!
Hata Iddi Amini DadaNadhani Sisi Tanzania under Mwalimu JK tungekuwa na uchumi mzuri tungeweza tawala nchini zote zinazotuzunguka. Ma presidaa wengi wametokea hapa Tanzania. Kagame alikuwa Morogoro, Kabilas wote wameishi bongo hapa, Museveni, akina marehemu Samora Machel. Mwalimu alikuwa mbabe sana
Mimi nilishasafiri naye one seat kwny Basi SIMBA MTOTO alikuwa mkimya sana alikuwa akiuliza vijiji tu ama kuvutiwa Na mazingira japo kiswahili chake hakikuwa sawia sana kivile.Alikuwa Jeshini wakati ule watu wanapita Jkt kwa mujibu wa sheria pale mgambo Jkt na bro wangu. Nasikia alikuwa anapotea tu wiki, akirudi anakuja na documents analala nazo hagusi mtuu na alikuwa hasumbuliwi na maafande.
Sasa hivi jeNadhani Sisi Tanzania under Mwalimu JK tungekuwa na uchumi mzuri tungeweza tawala nchini zote zinazotuzunguka. Ma presidaa wengi wametokea hapa Tanzania. Kagame alikuwa Morogoro, Kabilas wote wameishi bongo hapa, Museveni, akina marehemu Samora Machel. Mwalimu alikuwa mbabe sana
Kuweza KUONGEA vizuri,kwa ufasaha au kwa usahihi lugha ya taifa fulani sio ndio UTAIFA WAKO!!!
Kuna Mambo mengi yanayoweza kukufanya ukaongea vema kabisa lugha ya Taifa jingine kwa kukulia huko au kunifunza kwa usahihi
Haya bwanaHujapata point yangu Bwana wewe
Habari za jioni wakuu
Straight to the topic ni kwamba naapa sikuwahi kumsikiliza kabla rais huyu maishani mwangu ila hamad! nimemsikiliza jioni hii akifanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC Swahili yaani wakati ninamsikiliza akili yangu inakataa kuwa huyu rais wa DRC kuwa ni mkongomani bali ni mtanzania mwenzetu
Ninao uwezo wa kumtambua mswahili asie Raia wa nchi yetu yaani Mkenya au Mrundi au Mnyarwanda kwa kuongea kwake kiswahili (Lafudhi yake inanihabarisha)
Ninaconclude kwa kusema huyu Joseph Kabila ni mtanzania pure na wanaonibishia angalieni mahojiano haya hapa chini
Wanasiasa bwana, yaani uso wake wa upoleee, akiongea ndio wamuonea huruma zaidi kwa namna anavyoongea kwa upole.... Ingia kwenye anga zake sasa!
Habari za jioni wakuu
Straight to the topic ni kwamba naapa sikuwahi kumsikiliza kabla rais huyu maishani mwangu ila hamad! nimemsikiliza jioni hii akifanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC Swahili yaani wakati ninamsikiliza akili yangu inakataa kuwa huyu rais wa DRC kuwa ni mkongomani bali ni mtanzania mwenzetu
Ninao uwezo wa kumtambua mswahili asie Raia wa nchi yetu yaani Mkenya au Mrundi au Mnyarwanda kwa kuongea kwake kiswahili (Lafudhi yake inanihabarisha)
Ninaconclude kwa kusema huyu Joseph Kabila ni mtanzania pure na wanaonibishia angalieni mahojiano haya hapa chini