kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Katanga ni Provence kutoka DRC ambalo lina area ya 497000 km2, Population ya milioni 7, capital city Lubumbashi, lugha yao Kiswahili na Kifaransa.
Hii katanga ndo kumetokea viongozi wengi wa DRC kama Lorent Kabila, Joseph Kabila na kwasasa Moise Katumbi anataka kugombea.
Jimbo hili limekuwa na matatizo ya kutaka kujiondoa kwenye umoja wao na DRC kwa kudai ya kwamba raia Wakongo wamekuwa na tabia ya kuwabagua na kubagua viongozi wao.
Eti walianza na Lorent Kabila wakasema sio Mkongo ni Mtanzania, Kabila akatoka akaja mtoto wake Joseph Kabila wakadai sio Mkongo ni Mnyarwanda.
Sasa hivi ni Moise Katumbi wanadai sio Mkongomani, mama yake ni raia wa Zambia na baba yake ni Muisrael. Wao wakatange wanadai katumbi ni mtoto wao na chimbuko lake ni Katanga mama yake Katumbi ni mtoto Wakatanga.
Kwa hiyo wanaomba serekali ya Kongo kama watakataa candidacy ya Moise Katumbi wao watajitenga na Kongo na kudai haki yao ya kuwa nchi huru maana Wakongomani wamekuwa na tabia ya kubagua watu wao na kuwa na mashaka na uraia wawatu wao wamechoka mateso.
Hivi unafikiri ni nini kinacho sababisha ugomvi au kutoelewana pale unapounganisha nchi mbili, hasa hasa Afrika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii katanga ndo kumetokea viongozi wengi wa DRC kama Lorent Kabila, Joseph Kabila na kwasasa Moise Katumbi anataka kugombea.
Jimbo hili limekuwa na matatizo ya kutaka kujiondoa kwenye umoja wao na DRC kwa kudai ya kwamba raia Wakongo wamekuwa na tabia ya kuwabagua na kubagua viongozi wao.
Eti walianza na Lorent Kabila wakasema sio Mkongo ni Mtanzania, Kabila akatoka akaja mtoto wake Joseph Kabila wakadai sio Mkongo ni Mnyarwanda.
Sasa hivi ni Moise Katumbi wanadai sio Mkongomani, mama yake ni raia wa Zambia na baba yake ni Muisrael. Wao wakatange wanadai katumbi ni mtoto wao na chimbuko lake ni Katanga mama yake Katumbi ni mtoto Wakatanga.
Kwa hiyo wanaomba serekali ya Kongo kama watakataa candidacy ya Moise Katumbi wao watajitenga na Kongo na kudai haki yao ya kuwa nchi huru maana Wakongomani wamekuwa na tabia ya kubagua watu wao na kuwa na mashaka na uraia wawatu wao wamechoka mateso.
Hivi unafikiri ni nini kinacho sababisha ugomvi au kutoelewana pale unapounganisha nchi mbili, hasa hasa Afrika?
Sent using Jamii Forums mobile app