Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Mpe muda, kumbuka kuwa nchi kama Rwanda haipendi kuona utulivu kule DR Congo, wanataka jamaa wasiwe na utulivu ili waendelee kuwaibia madini.Hv Raisi wa sasa wa DRC anaongozaje nchi, mbona simuelewi?
Jamaa ana kazi ya kuinganisha nchi ili watu wote wawe wanaongea lugha moja kama wakongomani.