Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 6,981
- 14,752
Congo Gomma....
Amesoma sanguNi Mkongo amekulia hapa Tanzania na amesomea Iyunga Sec kule Mbeya.
Siasa hizo hatuna tena sasa hivi ni kikokotoo na miundombinu
KAMSIKILIZE PIA RAIS WA MOZAMBIQUE UONE MWEZI WA USWAHILINI UTADHANI ALIZALIWA MAGOMENI, HEDARU, AU MGANZA !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabila alikuwa baba yake wa kufikiaWengine wanasema baba yake halisi sio mzee Kabila bali ni mzee mmoja hivi wa Rwanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani pale SanguSio mtz bana, sema anajua sana.kiswahili.coz amesoma mbeya na kukulia hapa.tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda tulichaguliwa kuwa wapandikizi you never knowNadhani Sisi Tanzania under Mwalimu JK tungekuwa na uchumi mzuri tungeweza tawala nchini zote zinazotuzunguka. Ma presidaa wengi wametokea hapa Tanzania. Kagame alikuwa Morogoro, Kabilas wote wameishi bongo hapa, Museveni, akina marehemu Samora Machel. Mwalimu alikuwa mbabe sana
Hahaahha kapaka rangi nywele na mvi kaachia
Habari za jioni wakuu
Straight to the topic ni kwamba naapa sikuwahi kumsikiliza kabla rais huyu maishani mwangu ila hamad! nimemsikiliza jioni hii akifanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC Swahili yaani wakati ninamsikiliza akili yangu inakataa kuwa huyu rais wa DRC kuwa ni mkongomani bali ni mtanzania mwenzetu
Ninao uwezo wa kumtambua mswahili asie Raia wa nchi yetu yaani Mkenya au Mrundi au Mnyarwanda kwa kuongea kwake kiswahili (Lafudhi yake inanihabarisha)
Ninaconclude kwa kusema huyu Joseph Kabila ni mtanzania pure na wanaonibishia angalieni mahojiano haya hapa chini
Na hii inaweza kujib uzi mmoja humu kuwa je usalama wa taifa umepandikiza hata rais mmoja ktk nchi jiranHabari za jioni wakuu
Straight to the topic ni kwamba naapa sikuwahi kumsikiliza kabla rais huyu maishani mwangu ila hamad! nimemsikiliza jioni hii akifanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC Swahili yaani wakati ninamsikiliza akili yangu inakataa kuwa huyu rais wa DRC kuwa ni mkongomani bali ni mtanzania mwenzetu
Ninao uwezo wa kumtambua mswahili asie Raia wa nchi yetu yaani Mkenya au Mrundi au Mnyarwanda kwa kuongea kwake kiswahili (Lafudhi yake inanihabarisha)
Ninaconclude kwa kusema huyu Joseph Kabila ni mtanzania pure na wanaonibishia angalieni mahojiano haya hapa chini
Ni kweli, tulikuwa naye Mgambo JKT operesheni vyama vingi. Alikuwa msomaji mzuri wa novel na msikilizaji mzuri wa redio, vitu ambavyo muda wote alikuwa navyo. JKT alikuwa anaitwa Joseph Kabange.Abinti wa Jeshini wakati ule watu wanapita Jkt kwa mujibu wa sheria pale mgambo Jkt na bro wangu. Nasikia alikuwa anapotea tu wiki, akirudi anakuja na documents analala nazo hagusi mtuu na alikuwa hasumbuliwi na maafande.
Jamii forum ni nomaaa kwakweliNi kweli, tulikuwa naye Mgambo JKT operesheni vyama vingi. Alikuwa msomaji mzuri wa novel na msikilizaji mzuri wa redio, vitu ambavyo muda wote alikuwa navyo. JKT alikuwa anaitwa Joseph Kabange.
Sinza alilelewa na nani mkuu maana ni kweli ameishi sinza
Ni muhuni tu msela huyo