sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Bila kujali utaifa, kabila, dini, n.k. kilichofanyika kwa mtanzania mwenzetu ni unyama uliopitiliza na ugaidi wa wazi kabisa.
Kuna sababu ya kuendelea kuwavumilia watanzania wanaosapoti magaidi wa hamas baada ya kuyaona walichomfanyia kijana wetu wa Kitanzania ? HAPANA !!
Ni toe rai kwamba iwe official kuanzia kesho asubuhi mtu yeypte anaewasapoti Hamas kwa kuwasifia ama kuwaombea ama kuwatetea kwenye status, magroup, mtaani, vyuoni, n.k. nae atambulike kama assistant wa ugaidi
Kuna sababu ya kuendelea kuwavumilia watanzania wanaosapoti magaidi wa hamas baada ya kuyaona walichomfanyia kijana wetu wa Kitanzania ? HAPANA !!
Ni toe rai kwamba iwe official kuanzia kesho asubuhi mtu yeypte anaewasapoti Hamas kwa kuwasifia ama kuwaombea ama kuwatetea kwenye status, magroup, mtaani, vyuoni, n.k. nae atambulike kama assistant wa ugaidi