wagagagigi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2014
- 890
- 986
Huyu wanaemlilia alitoka katika familia za aina yao. Akapanda hadi kuwa kiongozi wa nchi kwa bahati mbaya. Matokeo yake tumeyaona!Habari wanajamvi !
Awali ya yote poleni kwa msiba! Niende moja kwa moja kwenye mada. Wanyonge wana shida tena kubwa sana. Twendeni pamoja taratibu mtajua shida ilipo. Siku moja nikiwa mahali fulani nikasikia mnyonge mmoja anasema ' afadhali sasa tumeanza kuheshimiana.' Kwake yeye kitendo cha watumishi wa umma kutokuongezewa mishahara kwa kipindi cha miaka mitano, yeye alifarijika sana.
Wanyonge wapo wengi sana! Karibu wote hufurahia madhira wayapatao watumishi wa umma au wafanyabiashara waliofanikiwa. Nikamsikia mnyonge mmoja anafurahia kuona wahitimu wa vyuo vikuu wakiishia kuchoma mahindi au kuosha magari baada ya kukosa ajira serikalini au taasisi binafsi.Kwao wao wote tukiwa masikini ndio faraja yao.
Nilikuwepo siku wakazi Wa Ubungo mpaka Mbezi huko wakibomolewa nyumba zao bila fidia yoyote , nikamsikia mnyonge mmoja anasema ' huyo ndio Magu bwana , hana huruma na mafisadi bwana' . Kwake yeye kila mwenye nyumba nzuri ni fisadi.
Wanyonge mahali fulani ni wajinga! Ndio maana wanatumiwa na wanasiasa kama stepping stone. Wanatumika na manabii wa uongo kujitajirisha. Wana fikiria wanaweza kuwa matajiri kwa kuombewa...! Bila kufanya kazi.
Juzi nimeona wanao lia na kuzimia wengi ni hao masikini wavaa kandambili. Sijaona hata waziri mmoja akizimia.
SASA JIULIZE KATI YA WAZIRI NA HAWA WANYONGE NANI ALIMFAHAMU KWA KARIBU RAIS MAGUFULI? wanyonge badilikeni!!
Wana wivu hatari! Mtu hajasoma anamuonea wivu aliye soma ! Kuna siku alifukuzwa kazi mkuu Wa TAKUKURU Mtwara pale Masasi , walishangilia utadhani timu ya Taifa imeshinda Gold medal! Kumbe yule kiongozi hakuwepo kwasababu alikuwa na msiba alifiwa na mtoto wake kabisa! Memo alipo ambiwa akaishia kumrudisha kazini lakini alimhamisha kituo.Usifurahie kuitwa Mnyonge aiseeee,Kutokomeza Ujambazi yes,well done,ila kuwaruhusu Machinga wajiachie bila mipaka kuna sehemu tumefeli.Wanaharibu sana mandhari na miundombinu jumlisha uchafu.
Mwisho Wanyonge waaache roho mbaya.Wanyonge wana wivu sana
Na akifika mbinguni afe tena.Tokea 2015 graduates tunabangaiza mtaani. Tunaambiwa tujiajiri, lakini wao wameajiriwa na hawataki hata kustaafu. Na waliopo kwenye ajira hawapandishwi ili wapya waingie kwenye system na waliofanikiwa kujiajiri biashara zimekua ngumu sababu mtaani hakuna pesa. RIP
Siku zote mwenye shida ndio huumia mtetezi wake anapoaga dunia.
Umeandika sana pumba hapa. Kumbuka tu Machinga, Mama ntilie na Bodaboda jinsi walivyokuwa wanajitanua kwenye hii nchi yao tangu JPM aingie madarakani.
Kumbuka watu walivyo kuwa wana furahia usalama wa nchi yao. Mabasi kutembea usiku na mchana.
Pengine wewe pia ni mnyonge ila hujijui, siku ukijijua utaona namna JPM alivyo kugusa pengine kwenye miradi mbalimbali.
Rest easy our Hero.
Hujui? Kamuulize DPP ! Ile mijihela aliyo kuwa anapokea bila risiti ilikuwa inaenda wapi?Hebu tufungue macho mkuu..jama kafa na utajiri/mali gani?
Uzalendo/MzalendoHaya ni maneno yaliyofujwa kipindi cha utawala wa Magufuli
1) Wanyonge.
2) Mabeberu.
3)"vita vya uchumi"
4)........
Uzuri JF hamkopeshi.Makaburi yanafukuliwa:Hapa nakupa tano mkuu.Jiwe anajifanya raisi wa wanyonge wakati yeye hana unyonge wowote.Ni kipindi cha kuanza kuibua waziwazi upigaji wa Jiwe .Mimi naanza na zile Trilioni 1.5 zilizoibuliwa na Profesa Assad ambazo hazina maelezo mpaka leo!
Hizi ni porojo/hisia.Hujui? Kamuulize DPP ! Ile mijihela aliyo kuwa anapokea bila risiti ilikuwa inaenda wapi?
hao hao wamachinga walijikweza na kuanza kupanga bidhaa mbele ya biqshara za watu ambao walikuwa wanalipa kodi kubwa TRA,haimek sense mm nalipia mapato afu mtu analipa elfu 20 aje kupanga bidhaa zake mbele ya biashara yanguSiku zote mwenye shida ndio huumia mtetezi wake anapoaga dunia.
Umeandika sana pumba hapa. Kumbuka tu Machinga, Mama ntilie na Bodaboda jinsi walivyokuwa wanajitanua kwenye hii nchi yao tangu JPM aingie madarakani.
Kumbuka watu walivyo kuwa wana furahia usalama wa nchi yao. Mabasi kutembea usiku na mchana.
Pengine wewe pia ni mnyonge ila hujijui, siku ukijijua utaona namna JPM alivyo kugusa pengine kwenye miradi mbalimbali.
Rest easy our Hero.
Umeongea reality mkuu...hakuna njia unaweza tumia kuwaelekeza hawa watu,kwanza propaganda zimewaingia kisawasawa....kila mtu apambane na hali yake.Aisee hawa jamaa ni wabishi kupita maelezo, ni wajuaji na kumbe hawajui kitu.
Kuwasaidia sio jambo dogo kama unavyosema
Unafikiri alikuwa na mganga ? Watanzania sisi naturally ni waoga sana. Unafikiri tungeamua kuandamana maelfu kwa maelfu ange tuweza? Polisi wangetushindwa na hatimae tungemkamata kama panya. Mungu ametuonea huruma amefanya yake.Tafsiri neno 'Mnyonge' ni pana sana la hakika watu wengi hatujuwi maana halisi. Kibaya zaidi tunafurahia kuitwa wanyonge. Mkuu aliweza sana kubadilisha mindset zetu na wote kuendelea kupenda umakini na unyonge.
Mganga wa JPM alikuwa mkali sana aliweza kuogopwa na kila mtu hata mtoto aliyopo tumboni. Ningepata bahati ya kukutana na JPM ningemuomba anipe connection ya Mganga wake maana ni hatari sana.
Wanyonge ni watu wapumbavu sana, mimi ni masikini ndiyo na najitahidi niukimbie umasikini ila ukiniita mnyonge nitakutusi.Tate Mkuu
ilifikia kipindi baadhi ya hao wanyonge wanauliza kuwa je mshahara wa mwezi huu watumishi watapata!?
ikabidi nikauliza,kwanini unauliza hvyo?
akanijibu,kwani huoni kama magufuli amekufa!
nikauliza kwani kifo cha magufuli na mshahara vinahusiana nini?
akakosa jibu!
ikabidi nimjibu kuwa kifo cha magufuli akiathiri mshahara!
tena hata yeye mwenyewe marehemu wa mwezi huu atauvuta swafi!
tena zile hela siyo zake,ni zetu wote!
akabaki kubung'aa tu!
Sidhani kama watakubali, wanalipenda sana hilo jina.Ili umsaidie kwanza unatakiwa umfanye alichukie hilo jina... Mtihani unaanzia hapo
Nikimsikia kiongozi anasema anaongoza wanyonge namuona ni kichwa tupu debe kutikaHabari wanajamvi !
Awali ya yote poleni kwa msiba! Niende moja kwa moja kwenye mada. Wanyonge wana shida tena kubwa sana. Twendeni pamoja taratibu mtajua shida ilipo. Siku moja nikiwa mahali fulani nikasikia mnyonge mmoja anasema ' afadhali sasa tumeanza kuheshimiana.' Kwake yeye kitendo cha watumishi wa umma kutokuongezewa mishahara kwa kipindi cha miaka mitano, yeye alifarijika sana.
Wanyonge wapo wengi sana! Karibu wote hufurahia madhira wayapatao watumishi wa umma au wafanyabiashara waliofanikiwa. Nikamsikia mnyonge mmoja anafurahia kuona wahitimu wa vyuo vikuu wakiishia kuchoma mahindi au kuosha magari baada ya kukosa ajira serikalini au taasisi binafsi.Kwao wao wote tukiwa masikini ndio faraja yao.
Nilikuwepo siku wakazi Wa Ubungo mpaka Mbezi huko wakibomolewa nyumba zao bila fidia yoyote , nikamsikia mnyonge mmoja anasema ' huyo ndio Magu bwana , hana huruma na mafisadi bwana' . Kwake yeye kila mwenye nyumba nzuri ni fisadi.
Wanyonge mahali fulani ni wajinga! Ndio maana wanatumiwa na wanasiasa kama stepping stone. Wanatumika na manabii wa uongo kujitajirisha. Wana fikiria wanaweza kuwa matajiri kwa kuombewa...! Bila kufanya kazi.
Juzi nimeona wanao lia na kuzimia wengi ni hao masikini wavaa kandambili. Sijaona hata waziri mmoja akizimia.
SASA JIULIZE KATI YA WAZIRI NA HAWA WANYONGE NANI ALIMFAHAMU KWA KARIBU RAIS MAGUFULI? wanyonge badilikeni!!