smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,106
wanyonge ndiyo siraha ya wana siasa uchwara.make ndiyo hivo watu wasiotaka kufanya kazi wazembe.wezi wanapenda kujiita.Sifa kubwa ya 'wanyonge' ni watu wasiojielewa.. wanajua shida ni kiungo mojawapo kwenye mwili. Hawajui nini kinatakiwa au kilitakiwa kufanyika, hawajui kazi ya watawala wao ni nini.
Ndio maana Marekani walitilia shaka uwezo wa 'wanyonge' kuchagua kiongozi wa nchi, wakaamua watu wachache wenye busara(electoral college) ndio wachague Rais!
Hao wanaojiona wanyonge wanatumiwa tu!!!
Hata chato inatumiwa tu.hkn mtu asiyependa ufisadi.hata malaika wote mafisadi. Mbinguni wataenda mafisadi, ole wako ulete habari za ulala hoi mbinguni adhabu mara mbili!!!! Fisadi number moja Mungu mwenyewe.Anasena Dunia na vyote vilivyomo.......saa si fisadi?
Ndo maana amekufa ni kinyume na maagizo ya Mungu!! Tulio wa Mungu sisi ni mafisadi kufuru si Mungu katupatia??
Ukiwa mlala hoi mbinguni huendi unaenda chafua tu vyoo vya kule.utanukishia majasho malaika wasafi.
kwa Mungu ni kusafi.ukienda kule utapewa mali kulingana ma utaalam mfano dreva wa ndege unapewa unaendesha yako..
Shetani alitaka Huo ufisadi akakosa ufisadi.sasa anataka walala hoi wenzake.na amewapata wengi mwingine huyu. Lkn mjiulize
Jitu lina midege jizi korofi.uaji .choyo.chuki.ubaguzi.linapiga cha juu. kinyongo kisichoisha bado litetee et wanyonge?? mbuurrlaaa!!