Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
Usifurahie kuitwa Mnyonge aiseeee,Kutokomeza Ujambazi yes,well done,ila kuwaruhusu Machinga wajiachie bila mipaka kuna sehemu tumefeli.Wanaharibu sana mandhari na miundombinu jumlisha uchafu.Siku zote mwenye shida ndio huumia mtetezi wake anapoaga dunia.
Umeandika sana pumba hapa. Kumbuka tu Machinga, Mama ntilie na Bodaboda jinsi walivyokuwa wanajitanua kwenye hii nchi yao tangu JPM aingie madarakani.
Kumbuka watu walivyo kuwa wana furahia usalama wa nchi yao. Mabasi kutembea usiku na mchana.
Pengine wewe pia ni mnyonge ila hujijui, siku ukijijua utaona namna JPM alivyo kugusa pengine kwenye miradi mbalimbali.
Rest easy our Hero.
Mwisho Wanyonge waaache roho mbaya.Wanyonge wana wivu sana
