Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

Sifa kubwa ya 'wanyonge' ni watu wasiojielewa.. wanajua shida ni kiungo mojawapo kwenye mwili. Hawajui nini kinatakiwa au kilitakiwa kufanyika, hawajui kazi ya watawala wao ni nini.

Ndio maana Marekani walitilia shaka uwezo wa 'wanyonge' kuchagua kiongozi wa nchi, wakaamua watu wachache wenye busara(electoral college) ndio wachague Rais!
 
Tate Mkuu
ilifikia kipindi baadhi ya hao wanyonge wanauliza kuwa je mshahara wa mwezi huu watumishi watapata!?
ikabidi nikauliza,kwanini unauliza hvyo?
akanijibu,kwani huoni kama magufuli amekufa!
nikauliza kwani kifo cha magufuli na mshahara vinahusiana nini?
akakosa jibu!
ikabidi nimjibu kuwa kifo cha magufuli akiathiri mshahara!
tena hata yeye mwenyewe marehemu wa mwezi huu atauvuta swafi!
tena zile hela siyo zake,ni zetu wote!
akabaki kubung'aa tu!
 
OKW BOBAN SUNZU
Hiyo Chato umeiona ilivyo mkuu!?
cha ajabu timu ya mpira ipo geita,ila uwanja plan ilikuwa kuujenga Chato!
Ni kama timu ya Yanga iwe mtaa wa Twiga Ilala uwanja ujengwe vikindi pwani!
Kibaya zaidi wale waandish wa ITV wakiwa live wamepasifia utafikir pepon
 
Habari wanajamvi !

Awali ya yote poleni kwa msiba! Niende moja kwa moja kwenye mada. Wanyonge wana shida tena kubwa sana. Twendeni pamoja taratibu mtajua shida ilipo. Siku moja nikiwa mahali fulani nikasikia mnyonge mmoja anasema ' afadhali sasa tumeanza kuheshimiana.' Kwake yeye kitendo cha watumishi wa umma kutokuongezewa mishahara kwa kipindi cha miaka mitano, yeye alifarijika sana.

Wanyonge wapo wengi sana! Karibu wote hufurahia madhira wayapatao watumishi wa umma au wafanyabiashara waliofanikiwa. Nikamsikia mnyonge mmoja anafurahia kuona wahitimu wa vyuo vikuu wakiishia kuchoma mahindi au kuosha magari baada ya kukosa ajira serikalini au taasisi binafsi.Kwao wao wote tukiwa masikini ndio faraja yao.

Nilikuwepo siku wakazi Wa Ubungo mpaka Mbezi huko wakibomolewa nyumba zao bila fidia yoyote , nikamsikia mnyonge mmoja anasema ' huyo ndio Magu bwana , hana huruma na mafisadi bwana' . Kwake yeye kila mwenye nyumba nzuri ni fisadi.

Wanyonge mahali fulani ni wajinga! Ndio maana wanatumiwa na wanasiasa kama stepping stone. Wanatumika na manabii wa uongo kujitajirisha. Wana fikiria wanaweza kuwa matajiri kwa kuombewa...! Bila kufanya kazi.

Juzi nimeona wanao lia na kuzimia wengi ni hao masikini wavaa kandambili. Sijaona hata waziri mmoja akizimia.

SASA JIULIZE KATI YA WAZIRI NA HAWA WANYONGE NANI ALIMFAHAMU KWA KARIBU RAIS MAGUFULI? wanyonge badilikeni!!
Your argument is too general kana kwamba umeongea na wao!
 
Habari wanajamvi !

Awali ya yote poleni kwa msiba! Niende moja kwa moja kwenye mada. Wanyonge wana shida tena kubwa sana. Twendeni pamoja taratibu mtajua shida ilipo. Siku moja nikiwa mahali fulani nikasikia mnyonge mmoja anasema ' afadhali sasa tumeanza kuheshimiana.' Kwake yeye kitendo cha watumishi wa umma kutokuongezewa mishahara kwa kipindi cha miaka mitano, yeye alifarijika sana.

Wanyonge wapo wengi sana! Karibu wote hufurahia madhira wayapatao watumishi wa umma au wafanyabiashara waliofanikiwa. Nikamsikia mnyonge mmoja anafurahia kuona wahitimu wa vyuo vikuu wakiishia kuchoma mahindi au kuosha magari baada ya kukosa ajira serikalini au taasisi binafsi.Kwao wao wote tukiwa masikini ndio faraja yao.

Nilikuwepo siku wakazi Wa Ubungo mpaka Mbezi huko wakibomolewa nyumba zao bila fidia yoyote , nikamsikia mnyonge mmoja anasema ' huyo ndio Magu bwana , hana huruma na mafisadi bwana' . Kwake yeye kila mwenye nyumba nzuri ni fisadi.

Wanyonge mahali fulani ni wajinga! Ndio maana wanatumiwa na wanasiasa kama stepping stone. Wanatumika na manabii wa uongo kujitajirisha. Wana fikiria wanaweza kuwa matajiri kwa kuombewa...! Bila kufanya kazi.

Juzi nimeona wanao lia na kuzimia wengi ni hao masikini wavaa kandambili. Sijaona hata waziri mmoja akizimia.

SASA JIULIZE KATI YA WAZIRI NA HAWA WANYONGE NANI ALIMFAHAMU KWA KARIBU RAIS MAGUFULI? wanyonge badilikeni!!
Mungu fundi bwana yani mtu kameza ulimi fasta
 
Tate Mkuu
ilifikia kipindi baadhi ya hao wanyonge wanauliza kuwa je mshahara wa mwezi huu watumishi watapata!?
ikabidi nikauliza,kwanini unauliza hvyo?
akanijibu,kwani huoni kama magufuli amekufa!
nikauliza kwani kifo cha magufuli na mshahara vinahusiana nini?
akakosa jibu!
ikabidi nimjibu kuwa kifo cha magufuli akiathiri mshahara!
tena hata yeye mwenyewe marehemu wa mwezi huu atauvuta swafi!
tena zile hela siyo zake,ni zetu wote!
akabaki kubung'aa tu!
Kunamtu mmoja leo kaniambia kipindi cha kikwete ilikuwa inapita miezi miwili bila mshahara...aisee tz wajinga ni wengi sana
 
Hapa nakupa tano mkuu.Jiwe anajifanya raisi wa wanyonge wakati yeye hana unyonge wowote.Ni kipindi cha kuanza kuibua waziwazi upigaji wa Jiwe .Mimi naanza na zile Trilioni 1.5 zilizoibuliwa na Profesa Assad ambazo hazina maelezo mpaka leo!
 
huko Chato amepeleka miradi ya kufa mtu mpaka airport na uwanja wa mpira wakati hata timu ya kijiji hawana. tunataka tuone Wanyonge wakitumia sasa hiyo airport
Ndio maana Sina uchungu na huu msiba, aende tu. Je angehudumu miaka 10 si angepeleka kila mradi Chato? Alikuwa mbinafsi sana. Maombi yetu Mungu ameyapokea.
 
Back
Top Bottom