Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

Asilimia kubwa watanzania wana umaskini wa kichwa na wanasiasa ndio utukandamiza kwenye mambo mengi ambayo ni lazima wanadamu tuwe nayo
Mfano :gari si hanasa kwa maisha ya sasa au huduma lazima mwananchi kuwa nazo kama bima ya afya,mikopo,nyumba mfano NHC,fursa kwa vijana na n.k
Kwa vile wanyonge ndio group la wajinga wanao furahi wajinga wenzao.
Kuna msemo walipenda kutumia clouds fm ule msemo wa usikubali kuwa mdudu kaa,unajua kaa akiwa mmoja kwenye sufuria anaweza kujikomboa ila wakiwa wengi kujikomboa ni shida ndani ya sufiria kila kaa kuzuia mwenzake asitoke.

Wanyonge ni sawa na kaa
 
Asilimia kubwa watanzania wana umaskini wa kichwa na wanasiasa ndio utukandamiza kwenye mambo mengi ambayo ni lazima wanadamu tuwe nayo
Mfano :gari si hanasa kwa maisha ya sasa au huduma lazima mwananchi kuwa nazo kama bima ya afya,mikopo,nyumba mfano NHC,fursa kwa vijana na n.k
Kwa vile wanyonge ndio group la wajinga wanao furahi wajinga wenzao.
Kuna msemo walipenda kutumia clouds fm ule msemo wa usikubali kuwa mdudu kaa,unajua kaa akiwa mmoja kwenye sufuria anaweza kujikomboa ila wakiwa wengi kujikomboa ni shida ndani ya sufiria kila kaa kuzuia mwenzake asitoke.

Wanyonge ni sawa na kaa
Daah umenikumbusha ule msemo aisee "Kataa kuwa kaa"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazia tu unamfilisi mtu kama Manji nyuma yake wako waathirika wangap? Hapo umesaidia au kubomoa? Afu wale wafanyakaz wake ndio wanaenda kufunga barabara kwa kufanya biashara ndogo ndogo.
Watu wenye kipato cha chini ndo tunaweza kuwaita wanyonge, sasa huwezi kudai unawasaidia wanyonge kwa kuwabana wale wenye kipato cha kati, mfano watumishi wa umma, wafanyabiashara na wajasiriamali. Kwa sababu watu wa daraja la kati wakifanikiwa na kufanya matumizi ndo hapo kula ya wanyonge itapatikana, vinginevyo utajikuta unatengeza kundi moja kubwa la watu wanyonge tupu...
 
Uko sahihi..."kuna mzee mmoja aliwahi niambia mwaka jana kwa sasa yupo UK kwa mwanae anasema Maskini wana roho mbaya sana"....ilikua natoka Songea kurejea Dar
am afraid he is very very right. why?
masikini wana menyality ya kuwa yoyote alie fanikiwa ni kinyume na mitazamo yao.
In their own world haiwezekani kufanikiwa, so badala wao wafanye bidii wafanikiwe.
wanatamani ufilisike ili uwe sawa nao.. hapo ndio wanapata relief.

so unaweza ona concept ya roho mbaya inatoka wapi. in their minds.
 
Mimi nilimshangaa yule Mzee Mnyonge alipoligawa jogoo la kubwa kwa jiwe wakati hata hajala cha asubuhi wala cha mchana
 
Wazia tu unamfilisi mtu kama Manji nyuma yake wako waathirika wangap? Hapo umesaidia au kubomoa? Afu wale wafanyakaz wake ndio wanaenda kufunga barabara kwa kufanya biashara ndogo ndogo.
Watu wenye kipato cha chini ndo tunaweza kuwaita wanyonge, sasa huwezi kudai unawasaidia wanyonge kwa kuwabana wale wenye kipato cha kati, mfano watumishi wa umma, wafanyabiashara na wajasiriamali. Kwa sababu watu wa daraja la kati wakifanikiwa na kufanya matumizi ndo hapo kula ya wanyonge itapatikana, vinginevyo utajikuta unatengeza kundi moja kubwa la watu wanyonge tupu...
 
Heb tianzishe harakati hizi kwenye mitandao hata ufunguliwe uzi

#KataaUnyonge #KataaKuwaMnyonge

Hatutaki rais wa wanyonge tunataka rais anaetaka usawa, katiba sio matakwa ya watu na kuuwa upande mwingine
 
Mimi kiukweli huwa sikubaliani kabisa na hii falsafa ya wanaoitwa Wanyonge.
Ni kundi linalotengenezwa na watawala kwa maslahi ya watawala wenyewe.
Mfano, nchi za Africa,Tanzania ikiwemo,tulijengewa na wakoloni fikra na tukaikubali kwamba ni maskini ambao tunatakiwa kusaidiwa.
Hii iliwarahisishia sana kututawala kwa kutupa vimsaada ambavyo,kwa mawazo yetu finyu,tuliona ni msaada mkubwa sana kwetu na tukawa tunawakweza.Mpaka leo fikra hizo mbaya hazijatoweka miongoni mwetu.
Vivyo hivyo, Wanaoitwa Wanyonge wametengenezwa ili wawe mtaji wa wanasiasa kupata mamlaka.
Wanaoitwa wanyonge wakipewa nafuu fulani,hata kama ni haki yao ya msingi,hufurahi na kuwaona watoaji kama Mungu wao.
Kwa hiyo,namaliza kwa kuwataka wote wanaojiona wako kwenye kundi la wanoitwa wanyonge wajitambue na kujiona kuwa sio wanyonge na kama wanapatiwa nafuu yoyote na watawala wafahamu kuwa hiyo ni haki yao sio hisani.
Au ninasena uongo ndugu zangu?
Haya ni maneno yaliyofujwa kipindi cha utawala wa Magufuli
1) Wanyonge.
2) Mabeberu.
3)"vita vya uchumi"
4)........
 
Back
Top Bottom