Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

Nina mashaka na wanaoitwa wanyonge

Ukiona mtu anamsifia Jiwe ujue naye ana roho mbaya sana kama huyohuyo Jiwe , jitu linakwambia Jiwe kanyoosha nchi , eti hakuna cha mtoto wa waziri Wala nini hayajui watoto wa mawaziri wapo dunia nzima .
 
Humu inaonekana kuna watu wanaishi Tanzania nyingine ndio maana awazielewi shida za wanyonge.

Hadithi ya ukweli.

Kuna mama mmoja alikuwa akiishi nje ya nchi, akarudi Tanzania 2008. Kakuta viwanja vyake vimeuzwa na wajanja.

Kaenda ardhi kufuatilia anazungushwa kuanzia 2008-2015, vilikuwa viwanja vinne chake na vya watoto wake watatu.

Katika muda huo wakati kesi inaendelea watemi wawili wakajenga utawafanya nini wakati wanawajua watu wizara ya ardhi na mahakama ya ardhi kesi yake inapigwa kalenda.

Magufuli kaingia late 2015 mpaka katikati ya 2016 mama karudishiwa viwanja vyake vyote. Wale waliojenga mahakama inakupa na tingatinga la kwenda kubomoa nyumba. Bahati nzuri mama alikuwa mstaarabu waliojenga walimpa viwanja maeneo mengine na hela kadhaa wakamalizana ivyo.

Hao ndio wanyonge wanaoongelewa na hata wao watakwambia upatikanaji wa hela sio rahisi chini ya Magufuli lakini uwaelezi kitu kwake. Mifano ni mingi sana na ndio watu wanaojiuliza nani atawatetea tena.
Hii ni case moja na huyo mama siyo aina ya wanyonge. Wanyonge tunao wazungumzia na hawa wasio na Elimu lakini kila siku Wa natamani kuona watanzania wote wana kuwa masikini. Hao wanao dai sasa tutaheshimiana.
 
Wanaoitwa wanyonge ni wapumbavu
Siku moja jirani yangu nyumba yake ilikuwa inapigwa mnada na Bank, wanyonge kama kawaida yao walijaa sana wakifurahia kuona nyumba ile inauzwa. Nikawauliza baadhi yao kwani nyumba ile ikiuzwa ninyi mnagawiwa pesa? Au bei ya sukari itashuka? Mmoja akasema wamejenga kwa fedha zetu hawa!!! Nikachoka kabisa. Wanyonge wana roho mbaya usipime.
 
Aisee,umesema point sana,

Wanyonge wasijokijua ni kuwa haya maisha tunategemeana,
Hawajui kuwa tajiri ni boss wa masikini(mnyonge)
Tajiri anapoharibiwa maisha hata huyu mnyonge atakosa mkate wake.
 
Hii ni case moja na huyo mama siyo aina ya wanyonge. Wanyonge tunao wazungumzia na hawa wasio na Elimu lakini kila siku Wa natamani kuona watanzania wote wana kuwa masikini. Hao wanao dai sasa tutaheshimiana.
Watu waliopata misaada ya aina hiyo ni wengi sio lazima kwenye viwanja bali kwa namna zingine. Hao ndio wanyonge wa Magufuli.

Swala la kupenda kuona wengine wanakwama halina uhusiano wowote na uongozi ni utamaduni na kiwango cha uelewa wa mtu.

Sifa kubwa ya mtu maskini ni kuamini kupata ni bahati na si jitihada. Na hiyo notion inakuwa kubwa zaidi kwenye hizi nchi zetu ambapo unakuta watu 200 wanagombea nafasi moja ya ubunge au udiwani. Akikosa huko basi anakata tamaa wakati kuna option zingine za kutengeneza maisha. Na anaepata nae saa zingine ata kama wenye wivu ni baadhi yeye anaamini wote waliokosa wanamuonea wivu especially kama uelewa wake ni mdogo.

Ndio matokeo yake watanzania ni watu wenye wivu sana na kujihami sana. Sio wanyonge tu ata makazini promotional ya mmoja inawekera wengine, that has to do with our embedded culture.

Why embedded culture? asilimia kubwa ya watanzania wanabaki na akili hizo (sio wote) ata ukiwatoa nje ya nchi.

Unaweza kumpeleka mtanzania ulaya, akapata makaratasi ya kuishi huko, shule bure mpaka elimu ya juu, kuna grants luluki za biashara ndogo sehemu zingine zisizo na malipo.

Wengi kwa uelewa wao mdogo awaangalii fursa zilizo wazunguka matokeo yake akiona mtu anaemjua anatusua anaanza wivu wakati na yeye ana fursa hizo hizo kwa sababu keshajijengea kupata ni bahati.

Kwa hivyo swala la wivu wa kushushana ni culture ya watu maskini kwa asilimia kubwa popote duniani; ila kwa watanzania is at different level, duh hawa jamaa noma.
 
Aisee,umesema point sana,

Wanyonge wasijokijua ni kuwa haya maisha tunategemeana,
Hawajui kuwa tajiri ni boss wa masikini(mnyonge)
Tajiri anapoharibiwa maisha hata huyu mnyonge atakosa mkate wake.
Huo ndio ukweli. Tajiri ana weza kuajiri wanyonge hata 50 na kuwalipa.
 
Watu waliopata misaada ya aina hiyo ni wengi sio lazima kwenye viwanja bali kwa namna zingine. Hao ndio wanyonge wa Magufuli.

Swala la kupenda kuona wengine wanakwama halina uhusiano wowote na uongozi ni utamaduni na kiwango cha uelewa wa mtu.

Sifa kubwa ya mtu maskini ni kuamini kupata ni bahati na si jitihada. Na hiyo notion inakuwa kubwa zaidi kwenye hizi nchi zetu ambapo unakuta watu 200 wanagombea nafasi moja ya ubunge au udiwani. Akikosa huko basi anakata tamaa wakati kuna option zingine za kutengeneza maisha. Na anaepata nae saa zingine ata kama wenye wivu ni baadhi yeye anaamini wote waliokosa wanamuonea wivu especially kama uelewa wake ni mdogo.

Ndio matokeo yake watanzania ni watu wenye wivu sana na kujihami sana. Sio wanyonge tu ata makazini promotional ya mmoja inawekera wengine, that has to do with our embedded culture.

Why embedded culture? asilimia kubwa ya watanzania wanabaki na akili hizo (sio wote) ata ukiwatoa nje ya nchi.

Unaweza kumpeleka mtanzania ulaya, akapata makaratasi ya kuishi huko, shule bure mpaka elimu ya juu, kuna grants luluki za biashara ndogo sehemu zingine zisizo na malipo.

Wengi kwa uelewa wao mdogo awaangalii fursa zilizo wazunguka matokeo yake akiona mtu anaemjua anatusua anaanza wivu wakati na yeye ana fursa hizo hizo kwa sababu keshajijengea kupata ni bahati.

Kwa hivyo swala la wivu wa kushushana ni culture ya watu maskini kwa asilimia kubwa popote duniani; ila kwa watanzania is at different level, duh hawa jamaa noma.
Nina kuelewa unacho zungumza, lakini na kiongozi wetu lawama nyingi alijitafutia. Kwamfano kwanini hakuwafidia alio wabomolea nyumba zao ubungo na Kimara? Kwanini hakuwapa kifuta jasho Wahanga wa vyeti fake japo shs milioni tano kila mtu? Kwanini aliruhusu unyama alio fanyiwa mheshimiwa Mbowe? Kwanini alimfukuza kazi kinyama marehemu Stephen Kebwe? Aliwasikiliza wanyonge wasio jua hiki wala kile. Leo imebaki Historia, He is gone.

Nimefurahi nimeshudia his down fall. Ngoma ikipigwa sana.......
 
Umeongea reality mkuu...hakuna njia unaweza tumia kuwaelekeza hawa watu,kwanza propaganda zimewaingia kisawasawa....kila mtu apambane na hali yake.
Sema sasa wanatuangusha kichizi inapokuja elections, siunajua wana bonge la mob. Tukiwapotezea tunaangamia wote, lazma solution ipatikane mkuu
 
Hawa wanyonge wana sifa ya roho mbaya sana na uwezo mdogo wa kufikiri. kuna siku nilikuwa nimeenda kwa ndugu yangu mmoja kwa lengo la kumjulia hali. Nilipofika pale nilimkuta anaangalia tv kipindi cha uombolezaji. Basi akawa anasema dah sisi wanyonge tutamkumbuka sana Magufuli yaani kafanya mpaka saivi tunaheshimiana mitaani wote tuna hali moja
 
Siku zote mwenye shida ndio huumia mtetezi wake anapoaga dunia.

Umeandika sana pumba hapa. Kumbuka tu Machinga, Mama ntilie na Bodaboda jinsi walivyokuwa wanajitanua kwenye hii nchi yao tangu JPM aingie madarakani.

Kumbuka watu walivyo kuwa wana furahia usalama wa nchi yao. Mabasi kutembea usiku na mchana.

Pengine wewe pia ni mnyonge ila hujijui, siku ukijijua utaona namna JPM alivyo kugusa pengine kwenye miradi mbalimbali.

Rest easy our Hero.
Miradi ipi ?
 
Siku moja jirani yangu nyumba yake ilikuwa inapigwa mnada na Bank, wanyonge kama kawaida yao walijaa sana wakifurahia kuona nyumba ile inauzwa. Nikawauliza baadhi yao kwani nyumba ile ikiuzwa ninyi mnagawiwa pesa? Au bei ya sukari itashuka? Mmoja akasema wamejenga kwa fedha zetu hawa!!! Nikachoka kabisa. Wanyonge wana roho mbaya usipime.
Halafu mambumbumbu sasa
 
Hawa wanyonge wana sifa ya roho mbaya sana na uwezo mdogo wa kufikiri. kuna siku nilikuwa nimeenda kwa ndugu yangu mmoja kwa lengo la kumjulia hali. Nilipofika pale nilimkuta anaangalia tv kipindi cha uombolezaji. Basi akawa anasema dah sisi wanyonge tutamkumbuka sana Magufuli yaani kafanya mpaka saivi tunaheshimiana mitaani wote tuna hali moja
huyo ndo mtanzania
 
Watu wenye kipato cha chini ndo tunaweza kuwaita wanyonge, sasa huwezi kudai unawasaidia wanyonge kwa kuwabana wale wenye kipato cha kati, mfano watumishi wa umma, wafanyabiashara na wajasiriamali. Kwa sababu watu wa daraja la kati wakifanikiwa na kufanya matumizi ndo hapo kula ya wanyonge itapatikana, vinginevyo utajikuta unatengeza kundi moja kubwa la watu wanyonge tupu...
Hiyo ndio illikuwa plan ili kila mtu amuabudu na kumpigia goti akimlilia shida
 
Habari wanajamvi !

Awali ya yote poleni kwa msiba! Niende moja kwa moja kwenye mada. Wanyonge wana shida tena kubwa sana. Twendeni pamoja taratibu mtajua shida ilipo. Siku moja nikiwa mahali fulani nikasikia mnyonge mmoja anasema ' afadhali sasa tumeanza kuheshimiana.' Kwake yeye kitendo cha watumishi wa umma kutokuongezewa mishahara kwa kipindi cha miaka mitano, yeye alifarijika sana.

Wanyonge wapo wengi sana! Karibu wote hufurahia madhira wayapatao watumishi wa umma au wafanyabiashara waliofanikiwa. Nikamsikia mnyonge mmoja anafurahia kuona wahitimu wa vyuo vikuu wakiishia kuchoma mahindi au kuosha magari baada ya kukosa ajira serikalini au taasisi binafsi.Kwao wao wote tukiwa masikini ndio faraja yao.

Nilikuwepo siku wakazi Wa Ubungo mpaka Mbezi huko wakibomolewa nyumba zao bila fidia yoyote , nikamsikia mnyonge mmoja anasema ' huyo ndio Magu bwana , hana huruma na mafisadi bwana' . Kwake yeye kila mwenye nyumba nzuri ni fisadi.

Wanyonge mahali fulani ni wajinga! Ndio maana wanatumiwa na wanasiasa kama stepping stone. Wanatumika na manabii wa uongo kujitajirisha. Wana fikiria wanaweza kuwa matajiri kwa kuombewa...! Bila kufanya kazi.

Juzi nimeona wanao lia na kuzimia wengi ni hao masikini wavaa kandambili. Sijaona hata waziri mmoja akizimia.

SASA JIULIZE KATI YA WAZIRI NA HAWA WANYONGE NANI ALIMFAHAMU KWA KARIBU RAIS MAGUFULI? wanyonge badilikeni!!
Wengi Wanao Jifanya Kulia Lia eti Shujaa Wa Chato alikua ni Mtetezi wa Wanyonge. Wengi Wao ni Watu wenye Roho za Kimasikini waliokua Wakishangilia Matajiri wakiporwa Mali zao na Kumbikiwa Kesi za Ukwepaji Kodi. Walitamani Matajir Waish kama Maisha Wanayoish wao Roho za Kimasikin
 
Jamani chato si ni Tanzania??? Mbona mnaibagua hivo!! Hivi kweli chato wataishi waTu kweli????

Mtasababisha wana chato waikane!! Na kuna hatari ya kuitenga chato duuuu! Si lawama hizi!!!

Sasa wafanyeje wao walichagua mtu na mtu huyo kawapendelea!!! Leo hiii watu wote chato wana nyumba za kisasa! Maji,umeme wa uhakika, lami mpaka jikoni, kila familia ndogo wana ng'ombe wa kisasa wa maziwa!

Shule nzuri zenye hadhi tangu primary. Viwanda vya makopo vingi.maziwa.samaki ajira tele tunazo karibuni chato.

Halafu tunatoa mbunge mwingine machachari sana anakuja lengo awe Rais tena kwa nguvu zetu wenyewe.
 
Back
Top Bottom