Nina mashaka na uwezo wa Godless Lema

Nina mashaka na uwezo wa Godless Lema

Suala la katiba mpya halikuwepo ktk ilani ya ccm wala serekali haikuwa na program kama hiyo hivyo kikwete alipata wapi mamlaka ya kuanzisha katiba mpya?,,,,na kwanini hashindwe kulihairisha bunge msilete porojo eti sheria,pumbavu zenu ccm

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Je huna mashaka na uwezo wa Kikwete DHAIFU kama Rais!? Au madudu chungu nzima ambayo yamefanyika tangu aingie madarakani huyaoni wala kuyasikia? au umeamua kujitia upofu na ukiziwi!?

Nimejaribu kuwa kimya lakini naona kuna haja ya kusema.

1. MH LEMA amekuwa mtu wa kulaumu na kulalamika kila wakati. kumlaumu rais kwa hoja dhaifu namna hii ni upofu. je mh lema mapungufu makubwa yaliopo chadema ya kiuongozi huyaoni. mbona km mpambanaji wa kweli hatukusikii ukikemea je huo uzalendo uko wapi?

2. Kiufupi kasome uchumi utaelewa namna inflation inavotokea na sikila kitu unakimbilia kwa mh raisi

3. Kasome sheria ya mabadiliko ya katiba, rais kisheria hana uwezo huo.

4. Je jimbo la Arusha mjini mbona hujakamilisha ahadi zako mbono hilo hulizungumzii?

Tubadilike watz kulalamika tu suluhisho.
 
Ninamashaka na mtoa madam juu ya uelewa ya maswala ya kisiasa
 

Attachments

  • 1408797233497.jpg
    1408797233497.jpg
    17.8 KB · Views: 85
Nimejaribu kuwa kimya lakini naona kuna haja ya kusema.

1. MH LEMA amekuwa mtu wa kulaumu na kulalamika kila wakati. kumlaumu rais kwa hoja dhaifu namna hii ni upofu. je mh lema mapungufu makubwa yaliopo chadema ya kiuongozi huyaoni. mbona km mpambanaji wa kweli hatukusikii ukikemea je huo uzalendo uko wapi?

2. Kiufupi kasome uchumi utaelewa namna inflation inavotokea na sikila kitu unakimbilia kwa mh raisi

3. Kasome sheria ya mabadiliko ya katiba, rais kisheria hana uwezo huo.

4. Je jimbo la Arusha mjini mbona hujakamilisha ahadi zako mbono hilo hulizungumzii?

Tubadilike watz kulalamika tu suluhisho.

UKIACHA NENO MH LEMA , mengine yote uliyoandika ni MADUDU MATUPU !
 
Nimejaribu kuwa kimya lakini naona kuna haja ya kusema.

1. MH LEMA amekuwa mtu wa kulaumu na kulalamika kila wakati. kumlaumu rais kwa hoja dhaifu namna hii ni upofu. je mh lema mapungufu makubwa yaliopo chadema ya kiuongozi huyaoni. mbona km mpambanaji wa kweli hatukusikii ukikemea je huo uzalendo uko wapi?

2. Kiufupi kasome uchumi utaelewa namna inflation inavotokea na sikila kitu unakimbilia kwa mh raisi

3. Kasome sheria ya mabadiliko ya katiba, rais kisheria hana uwezo huo.

4. Je jimbo la Arusha mjini mbona hujakamilisha ahadi zako mbono hilo hulizungumzii?

Tubadilike watz kulalamika tu suluhisho.

Umeumizwa na nini, kwani udhaifu wa mwenyekiti wako kitaifa hujauona, angalau udhaifu wa kusimamia mchakato wa katiba mpya aliyoidandia bila kujua makali yake kumrudia nyumbani mwake?
 
taasisi ya bunge haiwafai wezi wavuta bangi na wanywa viroba
 
Tatizo chadomo ni sikio la kufa. Kila siku mnashauriwa kuwa people of Lema's type ndiyo wanaoiua CDM, mnabisha na kutokwa povu jiiiiiiingi!, haya ngoja muone jinsi aliyoyasema Wassira a.k.a Mzee wa Gombe, yanavyotimia kiulaini!
 
Tatizo chadomo ni sikio la kufa. Kila siku mnashauriwa kuwa people of Lema's type ndiyo wanaoiua CDM, mnabisha na kutokwa povu jiiiiiiingi!, haya ngoja muone jinsi aliyoyasema Wassira a.k.a Mzee wa Gombe, yanavyotimia kiulaini!

Wakati mwingine uwe unatumia akili kufikiria..wassira alisema kuwa chadema kitakufa before 2015 kutokana na mikakati magamba waliokuwa wameipanga kama vile kununua makada na viongozi wa chadema, kubambika viongozi wa juu wa kitaifa kesi mbali mbali za uongo kama ugaidi na nyinginezo...kwa hiyo wewe endelea kuota tuu...
 
Back
Top Bottom