Arnold Ringo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,318
- 394
Ndio Hayo yanatakiwa Tumtoe Mkoloni Mweusi
Tatizo tu, ni nani atakaekubali kufungwa kengere? au ndio tuendeshd haraki nyumaa ya keybody na tukihamasishana kupitia mitandaoni wakati hata mwenyekiti anaogopa kujitambulisha hapa JF.
Hata mimi nina mashaka na uwezo wako. Kwa nchi kama tanzania haiitaji kujua mfumuko wa bei unasababishwa na nini, acha kumtetea jk, yeye mwenyewe alishasema hajui ni kwanini tanzania ni masikini wakati huohuo anawaambie wananchi atawaletea maisha bora!
Jipange uje upya acha kutetea upumbavu, kama hujamwelewa lema, haya niambie umeelewaje kauli ya kikwete kwamba hajui ni kwanini tanzania ni masikini.
Leo Buk 7 mmeambizana?
Lema kwavile najua kichwani hazijaenea vizuri mimi huwa hanipishida nampuuza tu.
Kama wewe Unaogopa ni wewe lakini kwakua tunajitambua Tatafanya kile kilicho haki yetu
lema ni mtu wa kupuuziwa!!ni mtu ambaye hupaswi umiza kichwa
Sawa mkuu kichondi77 hakuna kurudi nyuma.
Nijipange au nikupange?
modes fungueni jukwaa la MATAHIRA
Yani wewe ndiyo kitunguu kabisa hujielewi wala hujui unafanya nini kama ndege wewe bata ambaye huoga matope nakujiona anapendeza.
lema ni mtu wa kupuuziwa!!ni mtu ambaye hupaswi umiza kichwa
Godless Lema ndio nani huyo??????
Lema kwavile najua kichwani hazijaenea vizuri mimi huwa hanipishida nampuuza tu.
Mbunge wa jimbo la arusha mjini..ambalo magamba wanaliota kila siku.
Sasa kama mh.Lema niwa kupuuzwa mnatokwa na mapovu kwanini? Mbona mmeujibu Uzi wake tena kwa hoja dhaifu? Kikwete na nyie misukule wake wote majanga
Naona amefananisha usemi na mtume Mohammed aliyesema hajui haendako wala atakavyofanywa Teh Teh Teh!.
mkuu umetoka usingizini nn